Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

WIKI chache zilizopita rafiki yangu wa muda mrefu, mtumishi wa Mungu, Dk. Norman Sigalla ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoani Kilimanjaro alinitembelea ofisini kwangu kwa lengo la kutaka...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imesema kama yupo mtu anahisi anayo njia sahihi zadi ya kuleta amani na umoja visiwani Zanzibar serikali inamkaribisha mtu huyo kufanya hivyo na suala lake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nathubutu kukubaliana na mtaalamu wa sayansi ya siasa Harold Laswell katika taaluma hiyo. Mwanazuoni huyu alikwisha kusema maana halisi ya siasa na wanasiasa, kwamba ‘Politics is the Art of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Source: http://issamichuzi.blogspot.com/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume akimkaribisha Ikulu Zanzibar kwa mara ya kwanza Katibu Mkuu wa CUF...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Source,Habari Leo!!!! Tanzania yaishukuru Libya kwa Msaada TANZANIA imeishukuru Libya kwa misaada yake ya kibinadamu ambayo imetoa kwa Tanzania kusaidia watu walioathiriwa na athari za mvua...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Dailynews Reporter in Dodoma, 28th January 2010 TANZANIANS may soon witness trains moving as fast as 120 kilometres per hour as the government mulls introduction of fast moving locomotives in an...
0 Reactions
91 Replies
9K Views
Nimekuwa hapa Unguja toka Alhamisi. Nimekuta hakuna umeme na katika uliza uliza yangu nimeambiwa kuwa hakuna mategemeo ya kurejesha umeme hadi mwishoni mwa mwezi Februari. Inawezekana serikali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba minieleweshe hasa matumizi ya neno hili kustaafu katika siasa zetu hizi za kimasikini, kwa nini kiongozi anaye ondoka madarakani kwa kashfa kabla ya kumaliza muda wake...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Rais Kikwete akiwa safarini kwenda Davos, alisimama LIbya na kukutana na Ghaddafi na kumpa shukrani kwa msaada uliotolewa na Libya kujenga nyumba kwa familia zilizoathirika kwa mafuriko. Katika...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
  • Closed
Wakuu, habari! Ni wazi kuwa baadhi yetu humu jamvini tumeonesha ama tuna nia ya kugombea ama Ubunge au Udiwani na nafasi nyinginezo na wengine bado tunatafakari kama tugombee ama la. Wengi wetu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waziri Simba: Tupo makini, tutawashughulikia WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Sophia Simba, amesema, si kweli kuwa Serikali inachelewa kutoa uamuzi au haitoi uamuzi sahihi kuhusu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baada ya kutafakari kwamba huu ni mwaka wa uchaguzi kwenye ka- Nchi ketu haka maskini sana ulimwenguni (wa mipango) nimeona haya mambo ni muhimu sana kuhusiana na uchaguzi huo. Itikadi, Sera...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NAIBU Gavana wa Benki Kuu (BoT), Juma Reli (54), ameshindwa kuithibitishia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuhusu hasara iliyopatikana katika mradi wa ujenzi wa minara pacha kwa...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
..kwa kweli hata mimi namuunga mkono Mh.Selelii ktk madai yake haya. ..haijalishi kama wa-Tanganyika wanataka kumiliki ardhi Zenj au la, sote tunapaswa kuwa sawa ndani ya Jamhuri ya Tanzania. MP...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Mara nyingi sana tumeshuhudia vurugu na machafuko yaliyopoteza maisha ya watu wakiwepo watoto wagodo wasio na hatia katika nchi zetu hizi za Africa. Machafuko na vurugu hizo yanaambatana na mambo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rejea maoni yangu ya jana kuhusu hoja iliyoanzishwa na kishoka ya ama kuwa na uchaguzi mwakani au la. Binafsi, sikubaliani na wazo la Mbowe kugombea ubunge huko Hai. Huyu ndiye aliyekuwa mgombea...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Wakuu, Kama ningekuwa JK pamoja na mambo mengine ningefanya yafuatayo: 1. Ningejenga Multi-purpose Science Laboratories kila wilaya. 2. Ningeongea na vituo vyote vya televisheni hapa nchini...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Mwanasiasa mkongwe nchini, John Malecela, amevunja ukimya na kutangaza kuwa atagombea tena katika nafasi ya ubunge kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu ujao na kulitetea jimbo lake. Alisema hayo jana...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Ngawaiya atangaza kumvaa Ndesamburo Daniel Mjema, Moshi BAADA ya kukaa nje kwa kipindi kimoja, mbunge wa zamani wa Moshi Vijijini, Thomas Ngawaiya sasa anataka kurudi tena bungeni, lakini...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mojawapo ya hofu nilizonazo ni kuwa Kikwete hatimaye anaweza kuwa Gorbachev wetu. Yawezekana akaja na mawazo ya Perestroika anapotaka kugombea mara ya pili na watu wakakubali na matokeo yake...
0 Reactions
69 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…