Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Closed
Mkuu Kubenea, Najua ni mwana JF; hata kama una mapenzi na mtu mmoja kwenye siasa za Kyela lakini magazeti yako hayana haki kuingia kuchafua watu wengine bila sababu zozote. Ulichoandika kwenye...
0 Reactions
182 Replies
22K Views
Wana JF; Yeyote aliye na hotuba za Mzee Wetu Mzee Rashid Mfaume Kawawa aziweke hapa. Kwa kuanzia nina kipande hiki kidogo: akiwa kaimu mwenyekiti wa bodi hiyo, ilisema kwamba viongozi wa...
0 Reactions
17 Replies
9K Views
Jk ametangaza rasmi siku saba za maombolezo ya kitaifa kutokana na kifo cha Mzee kawawa, na bendera nchi nzima zitapepea nusu mlingoti
0 Reactions
55 Replies
9K Views
2009-12-31 10:13:00 Tanesco tops graft 'List of Shame' The ForDIA Tanzania Chapter Executive Director, Mr Bubelwa Kaiza, speaks in Dar es Salaam yesterday.By Bernard Lugongo and Al-amani...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hawa jamaa wanatukata ela on the monthly basis ili ukija retire ziweze kukusaidia. Hawa jamaa wakikata ela yetu normally huwa wanainvest sasa that being the case wanapokuja kuturidishia ela zetu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Fund Your Budget, Donors Tell Tanzania. NEWS 8 November 2007 Posted to the web 8 November 2007 The launching of general budget support in 2001 was in retrospect a milestone in...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
2009-12-31 10:08:00 Kikwete son, 11, voted into CCM youth bodyBy Lilian Lucas and Samuel Msuya, Morogoro President Jakaya Kikwete's son, Khalfan, 11, was on Tuesday elected a member of the CCM...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakati viongozi wa Tanzania (Mawaziri nk) 23% wametaja mali zao na 77% sawa 7,000. wamegoma kutaja, siku zinazidi kuyoyoma na mwisho ni tarehe 31/12/2009 Swali ni je hawa 7,000 wasipotaja...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Na Joseph Mwendapole 31st December 2009 Asema anachunguza kama mali zote zimelipiwa kodi Aahidi kuwa baada ya hapo ataweka wazi kila kitu Dk. Wilbroad Slaa Katibu Mkuu wa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kumekuwa na taarifa za utata juu ya hali ya mzee wetu Kawawa... Kuna mwenye ufahamu juu ya kinachoendelea? Walinzi wake, wanae hawapokei simu, au zikiita sana baadae hazipatikani kabisa! Kuna...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
JF, Tunaweza kufunga mwaka 2009 kwa kukumbushana tu kila awamu priority ilikuwa ni nini, Moja hadi tatu kwa ufupi ni hizi hapa, utata unakuja kwa hii yetu ya nne hadi sasa ni kipi katika hii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Never Eat Fish Published on: Tue, 12/29/2009 - 8:21pm The Express Reporter Three weeks after we revealed how crooks use formalin to store fish, health experts have revealed the horrible...
0 Reactions
1 Replies
17K Views
Haja ya kutaka tamko rasmi toka UN inatokana na taarifa zinazoendelea kusambaa kwa njia ya mtandao zinazoonyesha kwamba tayari vikao rasmi vya UN vimeshaijadili taarifa hiyo. Baadhi ya taarifa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF mimi naomba kuuliza kama kuna wataalamu wa sheria je, kwa kauli za sheikh yahya kwamba kifo cha Dk. Gama ni ishara ya ushindi wa JK je hii si inaonyesha alijua kifo hicho? Na kama...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu numejaribu kuitafuta hotuba husika bila mafanikio. Nadhani ni muda muafaka kuitundika hapa jamvini ile hotuba ili tupime tulichoahidiwa na Muungwana. Nayakumbuka machache: 1. Alisema...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
CZAR inamaanisha cheo cha KIFALME kwa lugha ya Russia. Kama mjuavyo mfalme hurithisha nasaba yake waendelee kutawala na mtoto wa mfalme ni possible future ruler wa nchi kwania atamrithi baba au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Niliwahi kusema juu ya Buriani na tabia zake za wasichana wa ndani na watumishi wake kwa ujumla .Nilipiga kelele na hata kuhohi utawala bora na ajira haramu na kunyanysa watumishi . Mary Nagu...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
*NI UJENZI WA MAKAZI YA GAVANA , YASITISHA MIKOPO YA WAFANYAKAZI Leon Bahati na James Magai WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo amesema serikali imeshtushwa na taarifa kuwa Benki Kuu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana JF mimi ni mgeni humu jamvini, katika nchi za wenzetu vyama vya upinzani huitwa a waiting Government au a Coming Government au The Next Government. Hivi vyama tiari huwa vina wasemaji vivuli...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mheshimiwa naona naye pressure imeanza kupanda na kushuka. Ukiona mbunge anakuja na madai mazito kama hayo bila kutaja majina jua ni yale yale ya kukalia kuti kavu, anataka kutumia neno ufisadi...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…