Kama hii ni kweli, basi ni jambo jema na la busara sana.Jk ametangaza rasmi siku saba za maombolezo ya kitaifa kutokana na kifo cha Mzee kawawa, na bendera nchi nzima zitapepea nusu mlingoti
Bwana ametoa na bwana Ametwaa.Jk ametangaza rasmi siku saba za maombolezo ya kitaifa kutokana na kifo cha Mzee kawawa, na bendera nchi nzima zitapepea nusu mlingoti
mkuu maombolezo sidhani kama hakuna kufanya kazi!! kazi itaendelea but mabo kama bendera kupepea nusu mlingoti no siku saba!!!siku saba??? nyingi sana, atleast wangefanya siku 3, nchi tajiri na zilizoendelea they dont do these things
mkuu maombolezo sidhani kama hakuna kufanya kazi!! kazi itaendelea but mabo kama bendera kupepea nusu mlingoti no siku saba!!!
anastahili hiyo heshma mzee K!! R.I.P
Kweli huyu alikuwa simba wa Vita, nakumbuka sana enzi za utoto wangu kulikuwa na story za kuchekesha sana kuhusu HUYU kamanda wa VITA, nakumbuka siku moja tukiwa safarini na Baba yangu, gari lilikwama kwenye matope, ilikuwa ni landlover 109, mara nikamsikia Dingi anasema ngoja niweke KAWAWA, litatoka sasa hivi, pale kwenye gia kuna gia ndefu na kale kafupi, kale kafupi ndo kakiitwa KAWAWA na kweli alipoweka kale, gari ilikuwa very powerful na ikachomoka pale kwenye MATOPE, so Kawawa Tutamkumbuka sana tena sana kwa mengi tu, Mungu ailaze roho yake Mahala pema peponi
Mwenye maelezo zaidi ya uhakika ofisi/kazi zitaendelea kama kawaida au itakuwaje? Sijaelewa
Jk ametangaza rasmi siku saba za maombolezo ya kitaifa kutokana na kifo cha Mzee kawawa, na bendera nchi nzima zitapepea nusu mlingoti
siku saba??? nyingi sana, atleast wangefanya siku 3, nchi tajiri na zilizoendelea they dont do these things
Waliosikia na kuelewa, watuweke sawa ktk hili, kuna kazi au hakuna kazi??!!mkuu maombolezo sidhani kama hakuna kufanya kazi!! kazi itaendelea but mabo kama bendera kupepea nusu mlingoti no siku saba!!!
anastahili hiyo heshma mzee K!! R.I.P
nimesikia kazi hakuna kwa siku sabaWaliosikia na kuelewa, watuweke sawa ktk hili, kuna kazi au hakuna kazi??!!
leo nimeamini kama kweli watz ni wavivu na hawapendi kazi, jamani siku 7 zote, na hakuna anayelalamika, na nchi yetu masikini ya mwisho
jamani hata baba wa taifa alipofariki siku kadhaa zilitengwa kwa maombolezo lakini hatukukaa nyumbani, kama nakumbuka sku ya mazishi no hapakuwa na shughuli zozote (shule au kazi)Kazi kweli kweli, hapa hata sijui unaanzia wapi kuelimisha...