Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Wana JF;
Yeyote aliye na hotuba za Mzee Wetu Mzee Rashid Mfaume Kawawa aziweke hapa.
Kwa kuanzia nina kipande hiki kidogo:
akiwa kaimu mwenyekiti wa bodi hiyo, ilisema kwamba viongozi wa serikali, mashirika yasiyo ya serikali, jumuia zake na viongozi wa vyama vya siasa wanahitaji elimu ya chuo cha Kivukoni kwa lengo la kuimarisha umoja, upendo, mshikamano na utaifa.
Alisema chuo bado kina nafasi nzuri ya kuimarisha utafiti katika masuala ya Tanzania na kwamba utafiti unakuwa na maana zaidi matokeo yake yanapowafikia wananchi wengi na kuwawezesha kubadili maisha yao.
Mzee Kawawa alisema utafiti usiwe wa kitaaluma tu bali usaidie kubadili maisha ya Watanzania.
Gazeti-Uhuru
ISSN 0876-3896
Tarehe: Jumatatu Novemba 28, 2005
Yeyote aliye na hotuba za Mzee Wetu Mzee Rashid Mfaume Kawawa aziweke hapa.
Kwa kuanzia nina kipande hiki kidogo:
akiwa kaimu mwenyekiti wa bodi hiyo, ilisema kwamba viongozi wa serikali, mashirika yasiyo ya serikali, jumuia zake na viongozi wa vyama vya siasa wanahitaji elimu ya chuo cha Kivukoni kwa lengo la kuimarisha umoja, upendo, mshikamano na utaifa.
Alisema chuo bado kina nafasi nzuri ya kuimarisha utafiti katika masuala ya Tanzania na kwamba utafiti unakuwa na maana zaidi matokeo yake yanapowafikia wananchi wengi na kuwawezesha kubadili maisha yao.
Mzee Kawawa alisema utafiti usiwe wa kitaaluma tu bali usaidie kubadili maisha ya Watanzania.
Gazeti-Uhuru
ISSN 0876-3896
Tarehe: Jumatatu Novemba 28, 2005