Ninaangalia star tv, nimeona wakisema kuwa Mh.Baregu na Mh.Marando wameitisha kikao cha waandishi wa habari lakini mpaka sasa hawajasema lolote, kwa mujibu wa star inaonekana wana ujumbe...
HABARI za Uhakika ambazo nimepokea Punde kutoka kwa viongozi wa Dini jijini Mwanza ni kuwa Baada ya Bernaed Membe kujaribu kuzungumza na viongozi wa dini na madhehebu ya Kikristu na kushindwa...
Wana JF,
Nilimsika mshikaji wangu mmoja akimwambia mtu wake wa karibu sana kuwa mume wa dada yule si wajua yuko TAKUKURU kanda Furani hapa nchini? Jamaa akasea hee nafahamu ilo sasa anafurahia...
Dear my senior fellow citizens;
Dr.Jakaya Mrisho Kikwete
Prof.Ibrahim Lipumba
Dr.Wilibrord Slaa
Mr.Hashim Rungwe
Mr. Mutamwega Mugahywa
We appreciate your interest in the position of...
I'm the best,I can do it.
I'm great,you all know me.
Give me more and get back more in return.
Are you getting confused in political campaigns?Yes,political.The world has politicians in the...
Kila nikijaribu kucheki comments za uchaguzi wa mwaka huu, naona zinatolewa na wanaume tu...! Jamani tunatafunwa na nini? Ni kwamba wadada/wamama zetu wamefanikiwa kutishiwa kuwa iwapo watachagua...
hi warombo sasa ni aje wajameni naona mramba keshawadanganya wazee kule kuwa pesa za ufisaji amejenga nazo bara bara ha ha ha, hivi haya ni ya kweli?:tape:
kwa kua naamini bila ya shaka yeyote ile kua zimebaki siku chache dr slaa kujuta kwa kuacha kugombea ubunge na kuona jinsi gani wenziwe walivyomuuza
ningelimuomba mheshimiwa Rais JK katika...
Wizi wa kura unaanza na Tume ya Uchaguzi inapotangaza idadi ya wapiga kura waliosajiliwa. Katika idadi hii kunakuwa na pasenti kubwa ya WAPIGA KURA HEWA. Hawa wapiga kura hewa watatumika kujaza...
Sheria ya uchaguzi inaruhusu mpiga kura kusimama mita 100 baada ya kupiga kura.Lakini Tume ya Uchaguzi inasisitiza mpiga kura akisha piga kura aondoke kituoni.Hii maana yake nini?
Watu wengi hasa vyama vya Upinzani katika nchi zinazoendelea hawajui mbinu zinazotumiwa na Vyama vinavyokuwa madarakani katika kuiba kura.
Humu JF kuna watu wengi wanaojua mbinu hizo.Ni bora...
Ndeninsia Lisley (RCT)
WAKATI zikiwa zimesalia siku nne kabla ya uchaguzi mkuu, imedaiwa kuwa mtu anayetuhumiwa kufanya vurugu kwenye kampeni za CCM, jimbo la Kawe amefariki dunia akiwa mikononi...
Hali ngumu ya maisha kwa Watanzania wengi kunatajwa kuwa ndiyo sababu kubwa ya msingi ya kumn'goa JK Jumapili ijayo.
Kwa mfano tu -- kama alivyosema Dr Slaa jana kwamba zaidi ya nusu ya Watz...
Jamani uku kwetu morogoro, majina yetu hayapo kwenye vituo vya kupiga kura mbaya zaid tumeletewa majina ya ndugu zetu marehemu...na kuna watu wengine majina yao yametokea kwenye kituo zaidi ya...
UKITUMA NAMBA YAKO YA KUJIANDISHA ILIYOKO KWENYE KITAMBULISHO CHA KUPIGIA KURA KWENDA NAMBA 15455 KWA MITANDAO YOTE UTAPATA TAARIFA ZAKO ZILIZOKO KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA. VILE VILE UKITUMIA...
Mwitikio wa CCM, makada wake na wapenzi wake dhidi ya Dr. Slaa umenishangaza sana. Toka alipotangazwa zimetumika mbinu mbalimbali za kumharibu kisiasa hata kibinafsi na nusura kidogo...
hapa wahujumu wameanza kuitoa mmoja baada ya mwingine baada ya Mwenyekitiwa Jumuia ya wazazi Kilimanjaro Thomas Ngawaiya kutamka kwamba atahama nchi kama Dr W.Slaa akishinda uraisi, hii inaashiria...
Katika harakati zinazoonyesha kutapatapa kwa CCM kutokana na kukaliwa kooni na sera bora za Elimu za CHADEMA, jana Waziri wa Elimu Prof. Jumanne Maghembe alitoa ya mwaka pale same aliposema CCM...
Kwa vile Mh Slaa haamini ktk Demokrasia, na anaitumia Demokrasia kuingia madarakani tu na kudanganya watanzania.
Hivyo yafuatayo ni mambo muhimu matano atayofanya pindi tu kama atachaguliwa kuwa...