emmathy
Senior Member
- Sep 22, 2010
- 147
- 25
Ninaangalia star tv, nimeona wakisema kuwa Mh.Baregu na Mh.Marando wameitisha kikao cha waandishi wa habari lakini mpaka sasa hawajasema lolote, kwa mujibu wa star inaonekana wana ujumbe muhimu.Sie wana JF tunahitaji kujua nini kinajili walio Dar tuhabairsheni.....