Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jamani wana JF imekuwa muda mrefu sana sijasikia matokeo ya mpanda kati,ambapo makamu mnyekiti wa Chadema alikuwa anatetea kiti chake.Mwenye taarifa atujuze,ili tujue hali ya mpiganaji wetu!!!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama ilivyokuwa katika chaguzi tatu zilizopita, katika uchaguzi huu CUF ilikuwa imeshinda. Habari zinasema kuwa Maalim Seif alikuwa amepata 54%. Wapenzi wa CUF kama kawaida yao walianza...
1 Reactions
50 Replies
5K Views
Wadau, nauliza: Jee, hii Tume ya Uchaguzi (NEC) ingekuwa ndiyo imeteuliwa na Mwenyekiti wa Chadamea, badala wa yule wa CCM, jee matokeo ya uchaguzi huu yangekuwaje? Kwa wale ambao wako tayari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninamshukuru Mungu sana maana yeye si mtu hata aseme uongo. Kwa jinsi ya kibinadamu macho yangu na ufahamu unaona yafuatayo katika matokeo yanayoendelea kutolewa. Tume ya uchaguzi inataka...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Yaani inasikitisha jinsi software ya uchaguzi ya NEC ilvyojaa wadudu(bugs)!! angalia jinsi wasimamizi kule Kilombero walivyoshindwa kuitumia na mwishowe kuamua kujumlisha matokeo ya vituo kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia uchaguzi huu wa TZ kwa karibu, kuna jambo moja sijaelewa, je kama results ni tume tu inasoma i mean za urais, sasa nani anafuatilia kama tally iliyopatikana mkoani au...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwenu Watanzania wenzangu mnaoitakia mema nchi yetu, Kuna maneno ya ushawishi yameanza kuenezwa kupitia kwenye mtandao kwamba Dr. Slaa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo watumie uungwana kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii haikubaliki nasema kama noma na iwe noma Matokeo Tunduru Kaskazini Kikwete amepata kura 22,261 Slaa amepata kura 1,965 Lipumba amepata kura 12,935
0 Reactions
31 Replies
4K Views
KAMA KURA ZIMECHAKACHULIWA MBONA KWENYE MAJIMBO AMBAYO WANANCHI WAKE WANAUCHU WA MAENDELEO WAMEING'OA CCM? mimi nasema sidanganyiiikiiii
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni matumaini yangu wote tumekuwa mashuhuda wa mabadiliko makubwa ya kisiasa na demokrasia miongoni mwa watanzania kwa kufanya maamuzi sahihi hasa katika nafasi za Ubunge. Tumeweza kuona sura mpya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwananchi Election Editions
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wapigakura wanaghadhabu nchi nzima na hawaafiki na kile kinachoendelea na hususani sehemu ambazo CCM imefanya vibaya matokeo kucheleweshwa kusomwa au kugeuzwa ili kuibeba CCM............ Haya ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. Kuna wanafunzi zaidi ya 400 waliotia saini zao wakipendekeza mimi nigombee urais.( Ilikuwa ni siku ya pili tangu nichukue fomu ya kugombea ubunge wa jimbo la Karatu;sahihi 400 zilipatikanaje...
0 Reactions
152 Replies
12K Views
Wananchi, hasa wapenda mabadiliko wamezunguka majengo ya halmashauri wanasubiri matokeo rasmi kwa hamu. Mgombea wa ccm (blandes) alitoweka eneo hilo tangu jana jioni.
0 Reactions
121 Replies
15K Views
Website ya Bunge iko makini. Si kama ya NEC. NEC wanachojua kuchakachua 2.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni vituko vilivyojitokeza katika moja ya vituo vya kupigia kura eneo la kituo cha fire, eneo lililozungukwa na kambi ya polisi dr. Slaa alishinda kwa 80%. Na wengine waliopangiwa kusimamia vituo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Buchosa - charles john dr tizeba (ccm); kiteto - benedict ngalama ole nangoro (ccm)
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuwapatia CCM wakati mwingine wa utawala hakika ni kutowatendea haki watanzania, wana nini cha ziada kwa ajili ya watanzaniaaaaaaa??????????
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Uchaguzi umefanyika na kwa kiasi fulani umetoa matokeo yanayoonyesha wanaharakati nchini wanaendelea kuimarika. Lakini najua hii haikuwa target yetu. Unadhani nini kifanyike ili mapungufu ya sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wageni ndio wanaingia. Ni Shamrashamra, nderemo na vifijo kwa Wana Zanzibar.
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…