C
- Joined
- Dec 2, 2008
- Messages
- 207
- Likes
- 9
- Points
- 35
C
Campana
JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2008



Wananchi, hasa wapenda mabadiliko wamezunguka majengo ya halmashauri wanasubiri matokeo rasmi kwa hamu. Mgombea wa ccm (blandes) alitoweka eneo hilo tangu jana jioni.