Mapinduzi ya ufarasa yahamia bongo.

Mapinduzi ya ufarasa yahamia bongo.

Mtembezi

Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
43
Reaction score
0
Ni vituko vilivyojitokeza katika moja ya vituo vya kupigia kura eneo la kituo cha fire, eneo lililozungukwa na kambi ya polisi dr. Slaa alishinda kwa 80%.
Na wengine waliopangiwa kusimamia vituo vya uchaguzi wakisononeshwa na ushindi wa jk.

Hii inadhilishwa na mapinduzi ya ufaransa ambayo polisi waliungana na raia kuondoa utawara wa kiimla.
KAA CHONJO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom