Jamani maandalizi ya wizi wa kura yanaanzia mbali. Labda ndiyo sababu CCM huwa wanajitapa kuwa mbinu zao ni za kisayansi. Gazeti la THE CITIZEN la Ijumaa, tarehe 29/10/2010 lilichapisha takwimu...
"No.6 Joseph Mbilinyi a.k.a Mr.2 Sugu asieogopa kuongea ukweli popote hata kama kuna hatari ya moto na mabomu, Tunahitaji Spirit zaidi za aina hii. Hatimaye muziki wa Tanzania utapata wa...
Sitayatambua matokeo ya urais - Dk. Slaa Send to a friend Wednesday, 03 November 2010 05:18 digg
Dk Willbrod Slaa
MGOMBEA urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema)...
KUTOKANA NA MATOKEO YALIYOTANGAZWA NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA MONDULI FISADI LOWASA AMEPATA KURA 32,362 NA MGOMBEA KWA TIKETI YA CHADEMA AMEPATA KURA BWANA MOLLEL WA CHADEMA AMEPATA KURA...
Mimi ni Mtanzania ninayeipenda nchi yangu.
Nimefurahishwa sana na jinsi Mhe Slaa alivyobadilisha mizania ya kisiasa Tanzania.
Hata hivyo siridhiki na baadhi ya mambo.
1. Ushauri uliotolewa wa...
Daniel Mjema,Moshi
MBUNGE Mteule Jimbo la Vunjo kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP),Agustino Mrema,
Jumamosi wiki hii atafanya mkutano mkubwa wa hadhara kutangaza mambo atakayowafanyia...
Heshima kwenu wanajamvi,
Jana usiku nilikuwa natazama BBC,Skynews na Aljazeera vyote kwa pamoja vimeipa umuhimu wa juu kabisa ushindi wa Mheshimiwa Salum Bar'wani mbunge mteule wa Lindi mjini...
Kura za udiwani ubunge ni rahisi sana kuzilinda kuliko za urais.
Diwani akisha tangazwa mshindi basi husahau ulinzi wa kura za ubunge. Naye mbunge akisha tangazwa mbunge husahau ulinzi wa kura...
Hii ni poll ya upesi upesi kujua mwelekeo wa fikra za watu.
Je Utakubali matokeo ya Urais pale NEC itakapoamua kuyatangaza?
a) Hapana - Sitakubali matokeo yoyote
b) Hapana - Kama CCM itatangazwa...
TBC1 imeripoti sasa hivi ya kuwa aliyekuwa Mbunge wa Lindi Mjini Mheshimiwa Mohamed Abdul Aziz na ambaye bado ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa alinusurika kipigo cha raia wenye hasira kali baada ya...
Ndugu wanajamiiforums nina maoni yafuatayo kuhusu uchaguzi wa 2015:
1) CCM wamechakachua matokeo ktk majimbo ambayo CHADEMA ilishinda km TARIME, KIBAHA, S'WANGA, SEGEREA, K'MBONI, SHY nk. Sasa...
Katiba ya Tz mparaganyiko wa hali ya juu.
Kama JK bado ni raisi wa Tz mpaka leo then akishinda anaapishwa kwa ajili ya nini wakati bado hajautema huo uraisi.
Na sasa JK anatambulika kama nani...
Katika vurugu zilizo tapakaa mji wa mbeya sasa ivi. Shule xa wasichana Loleza imechomwa moto. Mji mzima umechafuka vikosi vyote vya usalama vya mwagwa mitaan
"Tunatarajia kutoa tamko letu leo kufuatia mwelekeo wa utangazaji wa matokeo ya kura za urais na maoni yetu juu ya yale yaliyojiri kuanzia siku ya Jumapili. Tunashukuru kwa uvumilivu na uelewa...
Huu ni ushauri wa bwerere ingawaje ninapaswa kuwatumia CCM na haswa JK bili ya ushauri huu wa kitaalamu ya kuwa namna pekee ya kuwapooza watanzania ni kuiachia Chadema imteue Dr. Slaa awe spika wa...
So far, matokeo yaliyotangazwa ni ngome za CCM, na CUF, bado matokeo kutoka sehemu nyingine nyingi sana hayajatangazwa, na inawezekena JK ameanguka vibaya sana ndo maana wanachelewesha matokeo ya...
jamani tangujuzi matokeo hapa yalikuwa tayari bt baada ya kufika ksir george kahama mambo yamebadilika,watu jana walipigwa mabomu wakajeruhiwa lakini mda huu bado watu wamejaa niko hapa tangu jana...
KWA MABADILIKO ALIYOYALETA Dr SLAA NASHINDWA KUJIZUIA KUMFANANISHA NA MARTIN LUTHER KING NA HARAKATI ZAKE ZA KUWAKOMBOA WATU WEUSI NCHINI MAREKANI.
HONGERA Dr SLAA WWE NI MWANAMAPINDUZI WA UKWELI...