Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jamani maandalizi ya wizi wa kura yanaanzia mbali. Labda ndiyo sababu CCM huwa wanajitapa kuwa mbinu zao ni za kisayansi. Gazeti la THE CITIZEN la Ijumaa, tarehe 29/10/2010 lilichapisha takwimu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
"No.6 Joseph Mbilinyi a.k.a Mr.2 Sugu asieogopa kuongea ukweli popote hata kama kuna hatari ya moto na mabomu, Tunahitaji Spirit zaidi za aina hii. Hatimaye muziki wa Tanzania utapata wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sitayatambua matokeo ya urais - Dk. Slaa Send to a friend Wednesday, 03 November 2010 05:18 digg Dk Willbrod Slaa MGOMBEA urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KUTOKANA NA MATOKEO YALIYOTANGAZWA NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA MONDULI FISADI LOWASA AMEPATA KURA 32,362 NA MGOMBEA KWA TIKETI YA CHADEMA AMEPATA KURA BWANA MOLLEL WA CHADEMA AMEPATA KURA...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
kwa nini wakubali kutawaliwa na wasiokwenda shule??? waliekwenda shule wanashinda nje ya Jimbo la Rorya..hii haijaka sawa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni Mtanzania ninayeipenda nchi yangu. Nimefurahishwa sana na jinsi Mhe Slaa alivyobadilisha mizania ya kisiasa Tanzania. Hata hivyo siridhiki na baadhi ya mambo. 1. Ushauri uliotolewa wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Daniel Mjema,Moshi MBUNGE Mteule Jimbo la Vunjo kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP),Agustino Mrema, Jumamosi wiki hii atafanya mkutano mkubwa wa hadhara kutangaza mambo atakayowafanyia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Heshima kwenu wanajamvi, Jana usiku nilikuwa natazama BBC,Skynews na Aljazeera vyote kwa pamoja vimeipa umuhimu wa juu kabisa ushindi wa Mheshimiwa Salum Bar'wani mbunge mteule wa Lindi mjini...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa matokeo haya Tanzania must draft its own meaning of democracy and not the one that says power in the hands of the people
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kura za udiwani ubunge ni rahisi sana kuzilinda kuliko za urais. Diwani akisha tangazwa mshindi basi husahau ulinzi wa kura za ubunge. Naye mbunge akisha tangazwa mbunge husahau ulinzi wa kura...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii ni poll ya upesi upesi kujua mwelekeo wa fikra za watu. Je Utakubali matokeo ya Urais pale NEC itakapoamua kuyatangaza? a) Hapana - Sitakubali matokeo yoyote b) Hapana - Kama CCM itatangazwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
TBC1 imeripoti sasa hivi ya kuwa aliyekuwa Mbunge wa Lindi Mjini Mheshimiwa Mohamed Abdul Aziz na ambaye bado ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa alinusurika kipigo cha raia wenye hasira kali baada ya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Ndugu wanajamiiforums nina maoni yafuatayo kuhusu uchaguzi wa 2015: 1) CCM wamechakachua matokeo ktk majimbo ambayo CHADEMA ilishinda km TARIME, KIBAHA, S'WANGA, SEGEREA, K'MBONI, SHY nk. Sasa...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Katiba ya Tz mparaganyiko wa hali ya juu. Kama JK bado ni raisi wa Tz mpaka leo then akishinda anaapishwa kwa ajili ya nini wakati bado hajautema huo uraisi. Na sasa JK anatambulika kama nani...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Katika vurugu zilizo tapakaa mji wa mbeya sasa ivi. Shule xa wasichana Loleza imechomwa moto. Mji mzima umechafuka vikosi vyote vya usalama vya mwagwa mitaan
0 Reactions
32 Replies
7K Views
"Tunatarajia kutoa tamko letu leo kufuatia mwelekeo wa utangazaji wa matokeo ya kura za urais na maoni yetu juu ya yale yaliyojiri kuanzia siku ya Jumapili. Tunashukuru kwa uvumilivu na uelewa...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Huu ni ushauri wa bwerere ingawaje ninapaswa kuwatumia CCM na haswa JK bili ya ushauri huu wa kitaalamu ya kuwa namna pekee ya kuwapooza watanzania ni kuiachia Chadema imteue Dr. Slaa awe spika wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
So far, matokeo yaliyotangazwa ni ngome za CCM, na CUF, bado matokeo kutoka sehemu nyingine nyingi sana hayajatangazwa, na inawezekena JK ameanguka vibaya sana ndo maana wanachelewesha matokeo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani tangujuzi matokeo hapa yalikuwa tayari bt baada ya kufika ksir george kahama mambo yamebadilika,watu jana walipigwa mabomu wakajeruhiwa lakini mda huu bado watu wamejaa niko hapa tangu jana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
KWA MABADILIKO ALIYOYALETA Dr SLAA NASHINDWA KUJIZUIA KUMFANANISHA NA MARTIN LUTHER KING NA HARAKATI ZAKE ZA KUWAKOMBOA WATU WEUSI NCHINI MAREKANI. HONGERA Dr SLAA WWE NI MWANAMAPINDUZI WA UKWELI...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…