Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema chama hicho hakitasita kuchukua hatua dhidi ya watumishi wazembe wanaosababisha migogoro kwa wananchi...
3 Reactions
12 Replies
161 Views
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete akitoa sifa za Dkt. Fatma mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati akizindua jengo la Taaluma na Utawala, pamoja na Bweni...
3 Reactions
43 Replies
1K Views
Rais Samia kuwaongoza waombolezaji kuaga mwili wa William Lukuvi, Viwanja vya Karimjee, leo Machi 28, 2026. Hadi mauti yanamkuta Lukuvi alikuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge...
3 Reactions
5 Replies
155 Views
Najua jaji Othman Chande yuko compromised toka siku anachaguliwa, bila shaka pia ni mtu wa mfumo hakuna lolote jipya tunaweza tegemea. Japo hii tume haina uhalali wowote lakini inaweza kurejesha...
4 Reactions
9 Replies
140 Views
Hata Ole Sosopi wa CHADEMA, anamkubali Sana Festo Kiswaga. Safari hii Tunaomba Halmashauri Kuu ya Chama ngazi ya Wilaya, Mkoa, Taifa na Kamati Kuu ya CCM msifanye makosa kutuletea mtu mwingine...
3 Reactions
24 Replies
342 Views
Bwege aomba Watanzania wasiandamane Oktoba 29, 'Hakuna anayeweza kuzuia mabadiliko'.
0 Reactions
21 Replies
513 Views
Nina mashaka na kusema Kuna covid 19 kipindi hiki Je, Kuna kitu kinapikwa? Je, Kuna watu wanatafutwa? Je, biological weapons itatumika Kama ilivyotumika kwa Magufuli na kusingizia covid...
33 Reactions
112 Replies
2K Views
Ni muda sasa nimekuwa nahudhuria kusikiliza kesi za ndugu/marafiki katika mahakama hii ya mwanzo Arusha maarufu kama Mahakama ya Maromboso, hasa kesi zinazo sikilizwa na mfawidhi wa hii mahakama...
0 Reactions
3 Replies
88 Views
Mama Samia anaona kama anapotezewa muda tu kwasababu anachofikiria ni makusanyo ya pesa ili wapige deal na marafiki na ndugu zake! Mfano deal ya Kia na miradi mingi. Hakuna hata nia ya kupambana...
1 Reactions
7 Replies
93 Views
Mungu kuna kelele nyingi za kuogofya ila wewe utabaki kuwa Mungu. Iwe ni kwa sumu iwe ni kwa risasi tunaomba Taifa letu lisiingie kwenye majonzi sababu ya Dr Mchimbi tunaomba umtunze na umfunike...
27 Reactions
132 Replies
4K Views
Kati ya Bwege na Lukuvi nani alikuwa fisadi? Jibu tunalo wengi ni Bwege pamoja na shida zake alikuwa Mzalendo na tutamkumbuka kwa hilo. Hajauza nafsi yake kwa pesa. Huyu Bwege alikuwa Mzalendo...
3 Reactions
6 Replies
146 Views
ASIYEUTAKA URAIS CCM HAJAZALIWA! Wakristo tumo kwenye juma takatifu. Tunaalikwa kutohukumiana katika habari ya vyakula na vinywaji (Wakolosai 2: 16-17). Ndani ya CCM tusihukumiane kwa habari ya...
3 Reactions
9 Replies
200 Views
Katika kuonesha ari ya kupokea kijiti cha baba yake na kuendelea kuwatumikia wananchi wa jimbo la Isimani, mtoto wa marehemu William Lukuvi (Brenda Lukuvi) anatarajia kuchukua fomu ya kuwatumikia...
18 Reactions
161 Replies
2K Views
Ongezeko la vijana wanaofikia umri wa miaka 18 kila mwaka, na moja kwa moja kuomba kujiunga na chama cha mapinduzi ccm, kunaonyesha mapenzi na imani ya vijana kwa ccm, lakini pia kuna toa fursa...
2 Reactions
10 Replies
101 Views
Na hizi mvua ambazo zimeanza kunyesha ni hatari sana! =========== Diwani wa Kata ya Goba Lawrence Mlaki ameishukuru serikali kwa kuchukua hatua juu ya daraja la Goba Mtipesa ambapo imeagiza dara...
0 Reactions
0 Replies
38 Views
  • Redirect
Ukweli ni kwamba hatuwezi kuona matokeo mengine tofauti kwa sababu watu wanaotuongoza ni walewale. Kila mwaka mambo yatakuwa hivihivi tu.
0 Reactions
Replies
Views
Ni kwakuwa waliopo sasa hivi wana mtaka Yule atakaye kuwa ana maliza Muda wake Visiwani. Hivyo sio Nchi...mbi wala sio Nche...mba wao ni washusha joto Tu la 29 Oct
3 Reactions
9 Replies
139 Views
Profesa Lipumba akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya ofisi ya CUF, jijini DAR amesema kuwa uchaguzi wa 2025 haukuwa huru wala wa haki na ulighubikwa na mauaji ya watanzania wengi wao wakiwa...
1 Reactions
3 Replies
107 Views
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles E. Kichere akiwasilisha Ripoti za ukaguzi za kila Mwaka leo Machi 30, 2026 Ikulu Dar es Salaam " Kwa uapnde wa vyama vya siasa chama...
0 Reactions
7 Replies
173 Views
Yawe ni maandamnao makubwa ambayo hayajawahi kutokea hapa nchini. Majiji yote maandamano yafanyike kushinikiza na kupinga mateso anayopewa Tundu Lissu wakati sio mhaini. Hakuna Jeshi lolote...
30 Reactions
75 Replies
873 Views
Back
Top Bottom