Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Malenga Julias, mwanachama kutoka Tunduma, amefika Dar es Salaam kufuatilia mwenendo wa kesi ya Uhaini inayomkabili Mhe. Tundu Lissu. Julias, ambaye ni mlemavu wa miguu, alipata wasaa wa...
8 Reactions
6 Replies
279 Views
Wakati wa mgogoro mkubwa wa CHADEMA hasa kati ya Zitto na Mbowe niliwahi kuandika humu kuhusu Mbowe kuwa ni 'mtoto wa mjini' sishangai Zitto kushindwa.... Freema Mbowe ni Mtoto wa mjini, true...
264 Reactions
626 Replies
87K Views
Huyu mzee ni miongoni mwa watu waliokua na mvuto karibia kwa watanzania wote alikua akitokea na tabasamu lake na kicheko basi watanzania wote tunalidhika na kusema huyu mzee ni mgwana huyu mzee...
9 Reactions
42 Replies
667 Views
Yaani inasambaza vithibitisho ili kumuaibisha shahidi, inarusha mitandaoni kupitia akaunti zisizo julikana ili kumuaibisha shahidi , lakini mwisho wa siku wana aibika wao tena. Tuna jeshi bovu la...
1 Reactions
5 Replies
111 Views
  • Redirect
ZIARA YA KIKAZI YA WAZIRI MKUU MKOA WA SIMIYU Leo ni Itilima ▪️Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lengo la Ziara: ▪️Kuzungumza na wananchi...
1 Reactions
Replies
Views
Mwanachama wa JF na mdau mkubwa wa mitandao, Mdude_Nyagali amechukuliwa na watu waliojitambulisha kuwa ni polisi usiku huu. Walikuwa na silaha, wamevunja mlango. Mdude amepigwa sana, alikuwa...
22 Reactions
364 Replies
25K Views
Jamii inapaswa kutambua kuwa, Kumshambulia Askari akiwa katika majukumu yake ikithibitika, Mahakama inaweza kukufunga MIAKA 5 JELA
2 Reactions
46 Replies
342 Views
Siku, dakika za mwisho kabla ya Ben Saanane kutoweka Siku chache kabla ya kupotea katika mazingira yasiyoelezeka, kada wa Chadema, Ben Saanane alifanya mambo mengi kama mawasiliano yake binafsi...
8 Reactions
213 Replies
40K Views
Je kweli ni mwanajeshi au kavaat mavazi jeshi Je ni kweli yupo kikosi cha anga Je kuna watu wamesoma nae majirani wanaweza kuthibisha kuwa ni mwanajeshi JWTZ pia watoke watoe tamko nani...
23 Reactions
183 Replies
10K Views
Mjadala unaoendelea kuhusu Godbless Lema kutuma salamu za pole kwa Rais Samia Suluhu Hassan, kufuatia msiba wa mumewe unaonyesha tofauti kubwa kati ya msimamo wa chama na misukumo ya baadhi ya...
1 Reactions
6 Replies
54 Views
Socialite Mange Kimambi has demanded that CHADEMA return the contributions she made through the Tone Tone campaign after some party leaders condemned online activists as unproductive "keyboard...
2 Reactions
7 Replies
200 Views
Salaam, Wote tunajua Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob Mkunda ni shahidi wa Tundu Lissu. Hivyo kutokana na kesi inavyoendelea, haya ni maswali ya dodoso na ambayo naamini...
25 Reactions
109 Replies
2K Views
Kila organization inataratibu zake na mipaka yake kwenye mambo mengi watu wamekuwa wakikituhumu chadema ni chama cha kidekteta na kinaminya uhuru wa maoni baada ya maoni lema ila ni kwa sababu...
4 Reactions
17 Replies
140 Views
Tunaambiwa Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir alikuwa na wake watatu, basi ni busara rambirambi zitagawanywa kwa usawa hasa kwa bi mdogo. Ni hayo tu kwa leo.
12 Reactions
25 Replies
409 Views
Watakaopewa kipaumbele ni wale waliovuka Bahari kwenda kutoa pole, wamo na wasanii Mbu mbu mbu Hapo ndio nchi hii ilipofikia
19 Reactions
68 Replies
2K Views
Mwenda pole wahenga waliotuambia hajikwai, alijikwaa, aliwekewa jiwe kubwa, akaliona lakini akasema kwa mwendo wake atavuka salama, akajipa moyo na kujiamini. Ahhh akaingia kingi, akajikwaa kweli...
54 Reactions
233 Replies
10K Views
Mwili wa mwanaume ambae mpaka sasa bado haujatambulika umeokotwa asubuhi hii kwenye mtaro eneo la Mwenge njia ya Coca-Cola, karibia na Jengo la Josam house. Mashuhuda wanasema umetolewa macho yote...
10 Reactions
34 Replies
794 Views
RCO-Mbeya na polisi wamefika nyumbani kwa Mdude_Nyagali kuchukua sampuli ya damu iliyomwagika na kufanya uchunguzi. Moyo wangu umejaa hofu. Sioni mwisho mzuri katika habari hii. Hali ilivyo hadi...
12 Reactions
89 Replies
6K Views
PART 1: Je ni Adui wa Watanzania ni Nani ? Watanzania walio wengi wamekuwa wakiaminishwa na Wana siasa kuwa katiba mpya, Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi na Sera mbovu za Serikali iliyopo Chini ya...
1 Reactions
1 Replies
34 Views
Huyu Mzimbabwe Wicknell Chivayo mbona ghafla sana? Kutwa anacheza kwenye viunga kama kwake. Hivi alikua wapi enzi za Mjomba Magu?
8 Reactions
54 Replies
782 Views
Back
Top Bottom