Tunaanza Upyaaaa,
Mpango aidha atoe hela au ajiuluzu, asipotugea daraja wabunge wa Kusini tunaadamana, varangati la gesi kusini linarudi tena, yaani Tunaaza Upyaaaaaaaaa
Pia soma: TANZIA -...
Chadema wamekuwa na tabia za hovyo sana za kuingiza siasa kwenye vifo vya watu bila kujua kuwa Kila mtu ameumbiwa kifo, kifo hakina chama, hii umefanya Leo wanaona haya kutangaza msiba wa mtu wao...
Mwanasiasa machachari na aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Senior Selemani Said Ally Bungara, maarufu "Bwege," ametangaza rasmi kujivua uanachama wa chama cha ACT Wazalendo kuanzia jana, Februari...
Ni wazi kwamba serikali ya ccm imetengeneza chuki miongoni mwa wananchi hasa kwa kuwatenga watu wasioamini katika ccm na kuwafanyia kila aina ya dhuluma ghiriba ubaguzi na hata ukatili wa waziwazi...
Bado tupo sikukui ya Eid!
1. Ukitoa Wakatoliki ambao wao wanaenda kwa mfumo. Wanabebwa na Mfumo wao wenye nguvu. Jambo ambalo viongozi wa kisiasa hujifikiria mara tatu tatu wanapotaka kuwakabili...
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imesema hadi kufikia Juni 30, 2025, deni la Serikali lilifikia trilioni 110.05, deni la ndani likiwa TZS trilioni 35.5 na deni la nje...
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), CPA Charles E. Kichere akisoma Ripoti ya ofisi yake ya Mwaka 2024/2025, leo Machi 30, 2026, Ikulu Dar es Salaam.
Kama kuna jambo linakera watu wenye akili timamu ni kuona mashoga wanazidi kuongezeka katika jamii lakini pia agenda yao kupenya kirahisi sana na kubebwa na watu mashuhuri
Hivi karibuni ushoga...
Vituko vya serikali ya mh.Samia vinaendelea
Mkaguzi anadai hakwenda kukagua Mali za CHADEMA kwa sababu ya kesi mahakamani
Hivi kwani mahakama imekamata Mali za CHADEMA.
Tumeona hivi karibuni, shughuli za ushirikiano wa kijeshi kati ya nchi yetu na Marekani.
Marekani kwa kifupi hawana urafiki na mtu yeyote au Taifa lolote.
Watakumeza halafu kukutema mzima mzima...
I haven't seen this happening in my lifetime. Believe it or not, it is a shame on the entire PhD class to have Dk. Rutengwe crying like a baby. Undermining his qualifications that he has no basic...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema hayo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka jiwe la msingi ujenzi wa jengo la ofisi za CCM...
Profesa Lipumba amesema kuwa chama cha wananchi CUF japokuwa hakikutarajia kushinda ngazi ya urais lakini kiliamini kingeweza kupata majimbo ya ubunge walau viti 15, lakini ilishindikana kutokana...
Hili ndilo swali linalobeba kiini cha wasiwasi wa wengi kuhusu hatima ya mapendekezo ya Tume. Suala si kutolewa kwa ripoti pekee, bali ni nani atasimamia utekelezaji wake endapo mapendekezo...
This quote, often attributed to Niccolò Machiavelli in his work The Prince, argues that a leader’s wisdom is directly reflected in their choice of advisors and companions. A capable, honest circle...
Amesema Dkt.Tulia Ackson, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa ibada maalum ya kuaga Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na...
Ndugu zangu Watanzania,
Naungana Na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika,jasiri...
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania Padre Dkt. Charles Kitima amesema "Ukosefu wa Fikra yakinifu kwa vijana ni hatari, Kijana unakuwa mpambe wa mtu ambaye hana maono ya kiuchumi."...
Kwa mapana yake
Tulipotoka
Tulipo na tuendako
Tupopatia tulipokosea na tulipoumizwa
Tulipopotea, tulipokengeuka, tuliporubuniwa na tulipojisahau
Tuwajadili pia wazalendo waliojaribu kuipigiania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.