Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni kijana Ambaye haifahamiki anachokipigania Mbaya zaidi hata waliomteua hawaelewi kipaji Chake ni kipi, wamo wanaamini anapata vyeo kwa ushirikina. Hebu angalia hiyo hoja aliyoijenga hapo...
6 Reactions
25 Replies
499 Views
  • Redirect
Wataalamu mliosoma Political Science, Je Ndg. Simbachawene anaweza kuwa mrithi wa Hayati Mwendazake Lukuvi???
0 Reactions
Replies
Views
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesisitiza kuendelea kushiriki katika shughuli za kijamii sambamba na jukumu lake la msingi la...
0 Reactions
4 Replies
85 Views
  • Redirect
Wakuu hii ya waziri kumpa mama mkwe wake tuzo kwa uprofesa mbona imekaa kizamani sana. Kwani hii familia haiwezi kula kodi zetu tu kimya kimya mpaka iwe inatupigia kelele, kwahiyo sahivi ataitwa...
0 Reactions
Replies
Views
Hii nchi ina viongozi wanastahili kunyongwa kabisa mchana kweupe watanzania hii nchi sio maskini ila tuna watu ni wabaya sana ile mikataba iliyopitisha kwa hati ya dharula Bungeni tena ulikua...
9 Reactions
33 Replies
537 Views
  • Redirect
Dudu BAYA apewe tuzo, na mkurugenzi MSD mpandishe cheo awe mwizi mkuu wa serikali Tanzania.
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Ripoti ya CAG, ikiunganishwa na ripoti ya Ile tume ya Kodi itakuonesha kwa Nini Mimi natamani kujifia kila ninapo LIPA Kodi Nauliza katika Ili la uwanja wa mpira Makonda na yule aliyekuwa mbunge...
0 Reactions
Replies
Views
Moja ya kitu alichofanyikiwa Jamaa ni kuwaamnisha Waumini wake wajinga wajinga kua Uponyaji Wokovu Utajiri Kufanikiwa Ni Matokeo ya kutumia Mafuta, Udongo, Keki, na blah blaaah Jamaa hafundishi...
11 Reactions
20 Replies
244 Views
Heshima kwenu wakuu, Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Dr Shein, amesema hatishwi na vitisho vya TANESCO vya kuikatia umeme Zanzibar kwa sababu ya deni la Umeme kwani deni sio la leo, deni lina zaidi...
27 Reactions
615 Replies
82K Views
Kwa sasa ni kama marhamu. Huwezi msikia akikosoa kitu. Huwezi. Awamu hii wamejua kula na kipofu. Ikija tokea awamu nyingine ndo zitto kabwela ataibuka.
3 Reactions
10 Replies
197 Views
Kazi yetu ni kusema kama tulivyosema kabla ya uchaguzi mkatubeza, yakiharibika mtatafuta watu au makampuni ya kufanya Damage Control. Baada ya tukio kubwa la 29/10, ambalo halijawahi kutokea...
6 Reactions
15 Replies
410 Views
Nawatakia mema na kila la kheri watia nia wengine wote wa CCM maeneo mbalimbali nchini, wa ubunge pamoja na wale wa udiwani. Tuheshimiane na daima kua wastaarabu miongoni mwa watia nia wengine...
6 Reactions
114 Replies
3K Views
Mradi gani thamani yake hata elfu kumi haufiki? Hii nchi uhuru umepitiliza sana, Serious mbunge unapost hivi? Dharau zimezidi
53 Reactions
163 Replies
9K Views
  • Redirect
Huyu ndo rais wenu
4 Reactions
Replies
Views
Kabla ya yote turudi darasani kidogo, maana sitaki tuanze kuulizana maswali obvious , mara sijui source ni ipi, nk. haya twende kazi. Unit moja ya umeme hapa Tanganyika inauzwa kwa wastani wa...
22 Reactions
255 Replies
18K Views
Huko katavi kuna taarifa ya Walimu 17 wanasota mahabusu kwa agizo la Waziri Mkuu kwa kosa la kununua mabati feki ya ujenzi wa shule Mzabuni aiyewauzia mabati hayo feki yupo mtaani anaendelea na...
2 Reactions
4 Replies
155 Views
Profesa Lipumba jana Machi 29, 2026 akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya ofisi ya CUF, jijini Dar es Salaam, alisema kuwa kwa wastani ilihitajika Dakika nne - tano kwa mtu mmoja kumaliza...
1 Reactions
12 Replies
273 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila akiwasilisha Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2024/2025; Taarifa ya...
0 Reactions
7 Replies
105 Views
Back
Top Bottom