Ni kijana Ambaye haifahamiki anachokipigania
Mbaya zaidi hata waliomteua hawaelewi kipaji Chake ni kipi, wamo wanaamini anapata vyeo kwa ushirikina.
Hebu angalia hiyo hoja aliyoijenga hapo...
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda.
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesisitiza kuendelea kushiriki katika shughuli za kijamii sambamba na jukumu lake la msingi la...
Wakuu hii ya waziri kumpa mama mkwe wake tuzo kwa uprofesa mbona imekaa kizamani sana.
Kwani hii familia haiwezi kula kodi zetu tu kimya kimya mpaka iwe inatupigia kelele, kwahiyo sahivi ataitwa...
Hii nchi ina viongozi wanastahili kunyongwa kabisa mchana kweupe watanzania hii nchi sio maskini ila tuna watu ni wabaya sana ile mikataba iliyopitisha kwa hati ya dharula Bungeni tena ulikua...
Ripoti ya CAG, ikiunganishwa na ripoti ya Ile tume ya Kodi itakuonesha kwa Nini Mimi natamani kujifia kila ninapo LIPA Kodi
Nauliza katika Ili la uwanja wa mpira Makonda na yule aliyekuwa mbunge...
Moja ya kitu alichofanyikiwa Jamaa ni kuwaamnisha Waumini wake wajinga wajinga kua
Uponyaji
Wokovu
Utajiri
Kufanikiwa
Ni Matokeo ya kutumia Mafuta, Udongo, Keki, na blah blaaah
Jamaa hafundishi...
Heshima kwenu wakuu,
Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Dr Shein, amesema hatishwi na vitisho vya TANESCO vya kuikatia umeme Zanzibar kwa sababu ya deni la Umeme kwani deni sio la leo, deni lina zaidi...
Kwa sasa ni kama marhamu. Huwezi msikia akikosoa kitu. Huwezi. Awamu hii wamejua kula na kipofu. Ikija tokea awamu nyingine ndo zitto kabwela ataibuka.
Kazi yetu ni kusema kama tulivyosema kabla ya uchaguzi mkatubeza, yakiharibika mtatafuta watu au makampuni ya kufanya Damage Control.
Baada ya tukio kubwa la 29/10, ambalo halijawahi kutokea...
Nawatakia mema na kila la kheri watia nia wengine wote wa CCM maeneo mbalimbali nchini, wa ubunge pamoja na wale wa udiwani.
Tuheshimiane na daima kua wastaarabu miongoni mwa watia nia wengine...
Kabla ya yote turudi darasani kidogo, maana sitaki tuanze kuulizana maswali obvious , mara sijui source ni ipi, nk. haya twende kazi.
Unit moja ya umeme hapa Tanganyika inauzwa kwa wastani wa...
Huko katavi kuna taarifa ya Walimu 17 wanasota mahabusu kwa agizo la Waziri Mkuu kwa kosa la kununua mabati feki ya ujenzi wa shule
Mzabuni aiyewauzia mabati hayo feki yupo mtaani anaendelea na...
Profesa Lipumba jana Machi 29, 2026 akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya ofisi ya CUF, jijini Dar es Salaam, alisema kuwa kwa wastani ilihitajika Dakika nne - tano kwa mtu mmoja kumaliza...
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Crispin Chalamila akiwasilisha Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2024/2025; Taarifa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.