Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mizizi yake was deep! Wazito wengine wanasababisha catastrophe soon Naiona Kesho Yenye matumaini, naanza Kushusha makala ndefu, Soon Britanicca
83 Reactions
145 Replies
6K Views
WANAHARAKATI, KABLA YA KUDAI-ULIZENI KWANZA! DEOGRATIUS JOHN NDEJEMBI NI KIJANA WA DODOMA. Wanaharakati, kama hamjui jambo fulani, ni vyema kuuliza. Kuna watu wako tayari kuwasaidia kupata...
4 Reactions
14 Replies
867 Views
Kwenye hii kesi kama CDF na IGP watakubaliwa na serikali kwenda mahakamani kuwa mashahidi basi hukumu itakuwa tayari imeshaamiluwa tayari kwamba Lissu apewe adhabu ya kunyongwa au kifungo cha...
8 Reactions
98 Replies
2K Views
Kwenda kumuona Mama sasa imekuwa ni kama kiki na sio kwenda kumpa pole. Imekuwa ni kulazimishana lazimishana hivi. Cha ajabu wanajali zaidi waonekane kwenye picha zaidi ya kujali kusalimia. Camera...
2 Reactions
8 Replies
108 Views
  • Featured
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado, ametoa wito kwa familia ya Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Emmanuel Nchimbi kujitokeza hadharani na kuwahahakishia Watanzania kuwa yuko salama. Ado...
19 Reactions
46 Replies
2K Views
Jana Agosti 21, 2026, Mahakama Kuu (Masjala Ndogo Dar es Salaam) ilitoa uamuzi muhimu katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu. Jopo la majaji watatu likiongozwa na...
2 Reactions
12 Replies
272 Views
Za ndani zinasema kuwa Mzee wetu Aziz Ki anatarajiwa kuwa VP mpya. NB: Nami leo nimeamua kuwapenyezea tetesi, haiwezeiani kila siku britanicca mumsifie ati anajua kupenyeza codes.
12 Reactions
34 Replies
742 Views
Kuna tetesi nimezisikia nikiwa maeneo ya Kisutu kwenye kijiwe kimoja ambacho huwa wanakaa wazee wenye habari nyeti. Kuna mpasuko mkubwa sana ndani ya CCM. Mama hakubaliki na wanaCCM zaidi ya...
13 Reactions
25 Replies
785 Views
Kwa mujibu wa katiba ya JMT alikuwa kiongozi wa pili baada ya raisi baada ya rais wa JMT. Yupo wapi? Yupo hai au amekwisha toweka kama Polepole? Taifa zima liitishe maandamano ili kujua yupo...
7 Reactions
12 Replies
115 Views
Boksi la Pandora kuhusu mauaji ya October 29 limeanza kufunguliwa leo. Hili boksi lina mambo mengi machafu. Lissu kuanza kulifungua kupitia ushahidi wa Heche ana makusudi makubwa sana. Imagine...
46 Reactions
89 Replies
2K Views
Tayari! One can precisely guess the outcome. Hawezi kuandika ukweli au uongo aliousikia. Naishia hapa
7 Reactions
59 Replies
2K Views
Kama Title inavyosema Wengi tuna amini kuwa utakatifu ni hali ya usafi maadili mema na kutokuwa na dosari Lakini je, nini hutokea pale ambapo dhana ya utakatifu inapohusishwa na siasa Mimi...
7 Reactions
67 Replies
609 Views
Kwa hii sentensi yake moja tu,huyu jamaa ni mtu wa hovyo sana,anasema "Makamu Mwenyekiti alirudishiwa passport yake baadq ya kuongea na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa,ila yeye anasema alirudishiwa...
2 Reactions
7 Replies
106 Views
Siku ya Mwisho kila goti litapigwa, hakutakuwa na Mswalie Mtume Kula Mtori nyama utazikuta chini
6 Reactions
18 Replies
486 Views
Sijui mwenzetu hukumwelewa mkuu wako kuwa speed ya kuzoa taka Dar ni ndogo ndio maana amji unakuwa mchafu Ukaambiwa uifute tenda wasipewe madiwani wapewe kampuni zinazojiweza je UNATAKA...
2 Reactions
2 Replies
69 Views
Ukienda pangani ni moja ya sehemu zenye fukwe nzuri sana white sand beach but tatizo lilopo Pangani hakuna uwekezaji pako local sana Pangani pakiwekezwa na pakijengwa mfano wa goldcoast...
4 Reactions
15 Replies
98 Views
Anaandika Mwandishi wa Habari Mwandamizi, Mkazi wa Jijini Mwanza Alloyce Nyanda (Mtozi), akionesha kuunga mkono chapisho la Msanii wa Muziki wa 'HipHop' Nchini, anayeishi Nchini Marekani kwa sasa...
0 Reactions
17 Replies
151 Views
Utawala wa sheria unapaswa kufanyika kwa misingi ya sheria. Lakini kama wasimamizi wa sheria wanakiuka nini kitafyata? Raia watachoka, kila mtu atajichukulia sheria mkononi. Raia watapigana na...
5 Reactions
25 Replies
373 Views
Hivi wewe Hakimu, ukizitafakari Njia zako zilizojaa kupokea Rushwa ya Pesa, Ngono n.k Unapata Wapi Nguvu ya Kumfunga Kijana miaka 30 Jela?. Kwamba Maisha yake yote ya Utafutaji yaishie Jela...
13 Reactions
116 Replies
1K Views
Kwa hili niko na Mange 1,000 percent. Watanganyika wametumia msiba wa mume wa Samia kumkumbusha kwamba na wao waliumia vibaya kuuliwa wame, wake, watoto, na ndugu pamoja na utekaji, utesaji...
2 Reactions
67 Replies
895 Views
Back
Top Bottom