Polisi wa Tanzania wapo very biased. Hawafanyi kazi kwa weledi. Wanafanya kazi kwa mihemuko na ushabiki
Mtu anampiga mtu ambae ni kocha na alipaswa kupewa heshima na ulinzi.Anarekodiwa mbele ya...
Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, Lembrus Mchome, amewataka wanachama na wanaharakati wa chama hicho kuacha matusi na mashambulizi dhidi ya viongozi, akisema hatua hizo...
Owners profit by paying workers less than the true value of their labor
Our so called! INDUSTRIES
AFTER 100 YEARS
STUDENTS WILL STUDY CHINESE AS COLONISTS
AND TANZANIANS AS SLAVES
Ukute huyu jamaa alikuwa anamtaka binti wa watu, binti akakataa sasa kaamua kumpa kesi.
Halafu tangu lini kumtongoza mtu likawa ni kosa kisheria yani hawa Viongozi waliojiweka madarakani baada ya...
Ya Oktoba 29 2025, Mtayajibu tu!!.
Kama Lissu kayauliza kwa Mashahidi wa Jamhuri , kayagusia kwa Mashahidi wa Utetezi!!.
Jiandaeni kutujibu Watanganyika, Ni nani aliwaua Watanganyika wenzetu...
Ndugu zangu Watanzania,
Kiukweli Nimeumizwa Sana na Kifo cha Mume wa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Hii ni Kwa Sababu...
Hapa ni Morogoro mto Lukosi Miaka yote wananchi wanatumia hicho kichuma kuvuka huo mto wanasema kuna mamba wa kutosha.
Alafu kila mwaka ukisoma Ripoti ya CAG vibaka wanakula Pesa za kutosha.
MY...
Wasalaam,
Baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025, kuna jambo moja ambalo sidhani kama tunaweza kulikwepa kama taifa, Tanzania iko kwenye mjadala wa aina gani ya siasa tunayotaka kwa miaka ijayo?
CCM...
Wanawake wa Ziwa Tanganyika wanauza bidhaa kwa wasafiri wa boti wao wakiwa wanaogelea/wanaelea ndani ya maji.” Umaskini siyo ufahari. Kujaribu kusema “Mungu anampa kila mmoja riziki kwa jinsi...
Huu msiba wa kitaifa wa mume wa Rsis Samia Suluhu Hassan umetuzindua kwa kiasi fulani.
Mume wa Rais ni mtu mkubwa na wa heshima ya kitaifa.
Naamini kuna viongozi wa nchi jirani wengi tu...
TEC kama taasisi mna haki ya kujua muumini wenu yuko wapi tena mwana seminary kabisa zao lenu hili kuna haja ya kuandaa Misa na kumpa mwaliko Emanuel Nchimbi aje kanisani ni muhimu kuudhuria ibada...
Habari za asubuhi kuna kila dalili John Heche anamsaloti Lissu. Tundu Lissu alinukiliwa akisema Makamu nifikishie Taarifa za pole lakini heche hataki mpaka Jana Lema ndio kafikisha hizo salamu...
Maneno ya Lema LET LOVE LEAD yamepokelewa negatively na wananchi wengi tofauti na miaka ya nyuma kabla ya mauaji ya 29/10/2025, sio kwamba maneno ya Lema ni mabaya lakini tatizo linakuja kwa...
Dada Mange na Dada Maria wameendelea kuandika kwamba Mwigulu hatakiwi kabisa kuvuka kuelekea 2030.
Lakini nyuma ya kauli hizo kuna swali kubwa zaidi:
Kwa nini jina la Mwigulu linaonekana kuwapa...
Wakuu
Mjasiriamali maarufu wa Zimbabwe, Wicknell Chivayo, anayejulikana pia kama Sir Wicknell, amemtembelea Rais wa Tanzania, Samia Suluhu, Ikulu kwa ajili ya kumpa pole baada ya kufiwa na Mume...
DEREVA BODABODA ALIYEPOTEA ARUSHA, MWILI WAKUTWA UKIWA UMEKATWA SHINGO NA KUTOBOLEWA MACHO
Hamis Idd Masimba, mwenye umri wa miaka 24, dereva wa bodaboda katika kijiji cha Mlima CCM, Kata ya...
Siasa za chadema zimeingia katika level nyingine ya UBABE, NGUVU, VURUGU, CHUKI NA HASIRA.
Kwa bahati mbaya, hawana silaha. Wangekuwa na silaha, WANGEUA ILI KUWEKA MAMBO SAWA.
Ukisikia aina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.