Madhila yote ya Utekaji Samia hajawahi kukemea

Madhila yote ya Utekaji Samia hajawahi kukemea

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
16,466
Reaction score
42,594
Binafsi naamini Samia ndio kinara na master mind wa madhila yote ya utekaji wa watu na hizi ndio sababu zangu.

Alitekwa mdude akakaa kimya

Alitekwa mzee kibao akatoa kauli ya kejeli.
Alitekwa kipanya akakaa kimya.

Akatekwa polepole mteule wake kakaa kimya.
Madhila yote haya hakuwahi kukemea hata kidogo mbali ya kutoa vijembe yeye kama chief comforter haonyeshi kabisa kuwa mfariji wa taifa katikati ya majanga haya.

Naomba kama kuna mtu yoyote mwenye clip inayomuonyesha samia akikemea mambo ya utekaji katika taifa au tu hata kutoa pole kwa wahanga.
 
Binafsi naamini samia ndio kinara na master mind wa madhila yote ya utekaji wa watu na hizi ndio sababu zangu.
Alitekwa mdude akakaa kimya
Alitekwa mzee kibao akatoa kauli ya kejeli.
Alitekwa kipanya akakaa kimya.
Akatekwa polepole mteule wake kakaa kimya.
Madhila yote haya hakuwahi kukemea hata kidogo mbali ya kutoa vijembe yeye kama chief comforter haonyeshi kabisa kuwa mfariji wa taifa katikati ya majanga haya.

Naomba kama kuna mtu yoyote mwenye clip inayomuonyesha samia akikemea mambo ya utekaji katika taifa au tu hata kutoa pole kwa wahanga.
Kinara wa mauaji ya 29 October 2025
 
Binafsi naamini Samia ndio kinara na master mind wa madhila yote ya utekaji wa watu na hizi ndio sababu zangu.

Alitekwa mdude akakaa kimya

Alitekwa mzee kibao akatoa kauli ya kejeli.
Alitekwa kipanya akakaa kimya.

Akatekwa polepole mteule wake kakaa kimya.
Madhila yote haya hakuwahi kukemea hata kidogo mbali ya kutoa vijembe yeye kama chief comforter haonyeshi kabisa kuwa mfariji wa taifa katikati ya majanga haya.

Naomba kama kuna mtu yoyote mwenye clip inayomuonyesha samia akikemea mambo ya utekaji katika taifa au tu hata kutoa pole kwa wahanga.
Yeye ndio kinara, hata yule shahidi wa leo kwenye kesi ya Lisu, ndio sehemu ya hilo kundi la watu wasiojulikana. Maana Lisu alikuwa anamuuliza kwenye uchunguzi wake ameshirikisha ngazi zinazotakiwa kwa ulinzi na usalama, akawa anasema hajawashirikisha, maana huwa wanaruka hizo ngazi ili wasifahamike kwa ngazi nyingine za ulinzi. Lakini uchunguzi ukitaka kufanyikia, wao ndio huwa wanawaambia viongozi wengine wa idara kuwa ni maagizo toka juu.
 
Binafsi naamini Samia ndio kinara na master mind wa madhila yote ya utekaji wa watu na hizi ndio sababu zangu.

Alitekwa mdude akakaa kimya

Alitekwa mzee kibao akatoa kauli ya kejeli.
Alitekwa kipanya akakaa kimya.

Akatekwa polepole mteule wake kakaa kimya.
Madhila yote haya hakuwahi kukemea hata kidogo mbali ya kutoa vijembe yeye kama chief comforter haonyeshi kabisa kuwa mfariji wa taifa katikati ya majanga haya.

Naomba kama kuna mtu yoyote mwenye clip inayomuonyesha samia akikemea mambo ya utekaji katika taifa au tu hata kutoa pole kwa wahanga.
Aibu sana.
Nadhani washauri wake ni watu wabaya zaidi.
 
Kwa hiyo vifo na waliotekwa vimesahaulika?.
Mpumbavu wewe.
Mpumbavu ni mumeo anayeshindwa kukuzagamua vya kutosha Hadi unapata muda wa kukesha humu JF kuongea ujinga badala ya kugeleka maji ya moto ya kujikanda (if he were a model man).

Muelekeze mafala wenu waibe na kuharibu Mali za watu halafu muachiwe? Punga kweli we.
 
For peace to prevail in this country the way we used to have it, some top ccm leaders have to die,shameful death
 
Huwezi kuwa kiongozi wa kuchaguliwa kihalali, halafu ufumbie macho uonevu wanaofanyiwa wapiga kura wako.

Unless otherwise hao watu hawakukuchagua, na hivyo unakuwa huna maslahi/uchungu nao.
 
Back
Top Bottom