“Nikiingia ikulu mtu wa kwanza kumpa ajira ni Mama Samia na nimeshaishawishi Baraza langu kwamba nikishinda Urais Mama Samia atabaki ikulu” Coaster Jimmy Kibonde, Mgombea Urais Chama Makini.
Shahidi wa 10 katika kesi ya usafirishaji wanyama hai nje ya nchi amemtaja mshitakiwa wa kwanza, Kamran Mohamed, ambaye ni raia wa Pakistan kuwa alimzawadia Sh. 120,000 kwa ajili ya kazi...
Mchango wangu pekee ninaoweza kuutoa kwa nchi yangu Tanzania ni kuwaletea matukio kina juu siasa za Upinzani toka 1992.Nimeandika na bado naendelea ila nawaza jina la kitabu napata kigugumizi,japo...
Mnabyozidi Kumfitini SSH ndiyo nyota yake mnaisafisha na kuiangazia Tanzania.
My Take
Royal Tour Impact
https://www.instagram.com/p/DOBQ0hDDXiw/?igsh=MXYyZWI1dWV6dDQ1cQ==
Habari wanaJF wenzang
Mwl Julius K. Nyerere aliwapenda na kuwaheshimu wapigania Uhuru wote wa Bara letu la Africa.
Katika kuonesha heshima na upendo huo kwao, mwl Nyerere aliamua baadhi ya...
Watumishi waliofichua ufisadi kamwe hawawezi kuwa sio wazalendo, bali ni mashujaa hao wanapaswa kuzidisha suala hilo bila kuchoka.
Tunapaswa kukemea ufisadi kwa nguvu zote na kwa uwezo wetu wote...
Kwa waliosikia mwanzoni clouds fm jana ingawa nilichelewa kidogonikakuta tu mh mmoja wa uvccm kkwa wakati huo
alishajitaja jina akihojiwa na kuelezea baada ya rostamnani anafwata..kijana huyu...
Tundu Antipas Lissu ameuchambua kwa kina mgogoro wa Gaza na kusema Palestine ipo tangu Enzi za Torati lakini Israel ilianzishwa mwaka 1947 kwa Azimio la Umoja wa Mataifa.
Lisu anasema mwaka 1916...
Imefika wakati jeshi lijitokeze na kutoa msimamo kama wanaunga mkono upotoshaji wa haki na kunyamaza wakati watanzania wanatekwa na vyombo vingine na wanasiasa wananyima haki. Au Jeshi litoe...
Kaka Humphrey kwanza nikupongeze kwa kazi njema unayotufanyia watanzania.Kwa kuwaanika 'wahuni' na uhuni wao , sie wasakaonge na wanywa kahawa huwa tunapata cha kujadili kila machweo.
Sauti...
Sijaelewa ni kwanini kuna watu wanauhusisha uteuzi wa Dkt. Bashiru kuwa katibu mkuu kiongozi na Rais Magufuli kuongeza muda kuiongoza Tanzania kwa zaidi ya mihula miwili.
Dkt. Bashiru amewahi...
Awamu ya 6 ya Rais Samia ndio kipindi Barabara za lami nyingi zimejengwa sana kuliko wakati mwingine wowote kabla yake,takribani km 1,000 zimeng'arisha Mitaa ya Miji kote Nchini.
Mitaa ya Miji...
Hatuko kwenye mfumo wa Chama kimoja cha Siasa ambako Jeshi linakuwa taasisi ya chama bali tuko kwenye mfumo wa vyama vingi ambapo Jeshi ni Taasisi Huru Chini ya Amiri Jeshi mkuu
Ni vema Chadema...
Mgombea wetu wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻, amesema moja kati ya dhamira na kipaumbele chake ni kujenga...
Nchi ya Tanzania ni nchi ambayo imekuwa katika msingi ya haki na demokrasia na haya ndio yanayoleta matokeo ya amani.
Lakini amani ambayo ndani ya nchi tunayo ni kitu ambacho kinawaumiza wale...
Natabiri ya kuwa jaribio lolote la kubadili katiba na kurefusha ukomo wa Rais litazua Moto wa kisiasa ambao haukuwahi kutokea tangu kuwepo kwa Taifa hili.
Yani hamtoamini wala kudhania. Itakuwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Ni kweli Mlinzi Mkuu wa Maisha ya Mwanadamu hapa Duniani ni Mungu Mwenyewe. Ni kweli pasipo mkono wa Mungu hata mwanadamu akikesha analinda atakuwa anafanya kazi ya bure...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan ameahidi kukamilisha ujenzi wa bandari kavu yenye ukubwa wa ekari 1800 katika eneo la...
Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.
Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.