Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kijasusi zinaitwa psyops. Matumaini kuwa kuna mtu / watu wenye nguvu au kuna Mungu ataingilia kati na kurejesha haki zako is a powerful thing inayoweza kukufanya uendelee kungoja ili kuona nini...
7 Reactions
29 Replies
1K Views
Na Brighton Masalu MGOMBEA ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Tarime Mjini, Esther Nicholas Matiko ameonesha dira thabiti ya maendeleo na kufufua matumaini kwa wananchi wa jimbo...
2 Reactions
6 Replies
561 Views
Kwa sasa nchi ipo kwenye sitofahamu, Kila kiongozi anajinasibu yuko sahihi, swali wanataka kutupeleka wapi, tuko wapi na tunaelekea wapi? 1; Nikimuuliza comrade Kikwete nani ametufikisha hapa...
1 Reactions
0 Replies
285 Views
Habarini ndugu zangu wana JF, jana nikiwa naburudika bar ukazuka mjadala wa walevi kuhusu no reforms no election Kinachosikitisha asilimia kubwa ya wadau waliochangia hoja wanadai hizo reforms...
4 Reactions
23 Replies
860 Views
Mpaka muda huu hali ndio kama mnavyoona Majirani wanadhani huenda watu wako Pembeni kukwepa Vumbi maana Chama hicho kinatumia Usafiri wa kisasa wa Chopa Tuendelee kusubiri Chopa Itue kwanza
35 Reactions
171 Replies
9K Views
Wazee wa kimila wa kabila la Waluguru, Kata ya Mlali wilayani Mvomero mkoani Morogoro, wamefanya matambiko maalum ya kimila kwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mvomero kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)...
2 Reactions
3 Replies
365 Views
The AUC Chairperson, H.E. Mahmoud Ali Youssouf, held his inaugural meeting with the newly appointed AU Special Envoy on Women, Peace and Security (WPS), H.E. Amb. Liberata Mulamula. The Office of...
4 Reactions
39 Replies
3K Views
Taarifa hii Kabambe imetolewa na Mmoja wa Wagombea Urais anayeungwa mkono na Wananchi wengi. Habari kamili hii hapa. == Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Kazi, amekabidhi...
4 Reactions
17 Replies
956 Views
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mwibara kupitia ACT Wazalendo Cyprian Musiba ameahidi kuzilinda kura zote atakazopigiwa na wananchi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Musiba amesema hayo Agosti 31...
1 Reactions
9 Replies
837 Views
Mpaka Sasa wagombea ubunge wafuatao ambao wamepita bila kupingwa na wanasubiria kura ya ndio au hapana. Majina yao ni yafuatayo: 1. Masache Kasaka Jimbo la Lupa 2. Ulimboka Mwamengo Jimbo la...
9 Reactions
69 Replies
4K Views
TAARIFA RASMI YA CHAMA CHA NLD KUHUSU KUSITISHWA KWA SHAMRASHAMRA ZA KUMPONGEZA MGOMBEA URAIS MHE. DOYO HASSAN DOYO NA MGOMBEA MWENZA BI. CHAUSIKU KHATIBU, NA KUOMBA RADHI KWA USUMBUFU WOWOTE...
1 Reactions
3 Replies
549 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanikiwa kukusanya karibu bilioni 100 kupitia michango ya wafanyabiashara mbalimbali nchini. Hata hivyo, kuna masikitiko makubwa miongoni mwa wanachama na wagombea...
1 Reactions
5 Replies
463 Views
Wakuu habari, Tume huru ya uchaguzi Tanzania (INEC) imewakabidhi wagombea urais uchaguzi mkuu 2025 magari mapya aina ya LandCruise GX VXR Mpya ya 2025 zero kilometer. Haitakua busara Mgombea wa...
5 Reactions
50 Replies
4K Views
Ndugu zangu CCM kipindi hiki cha kampeni ili tuwezi kushinda kwa kishindo basi tuombe tuwe tunawekewe hotuba za Magufuli ikiwezekana kwenye redio zote za Tanzania hizi hotuba ziendane kama...
2 Reactions
10 Replies
590 Views
Mgombea Urais kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo amelalamikia Vyombo vya Habari kuwapa nafasi Wagombea wa upande mmoja na kuacha vyama vingine vikiwa havina...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, leo tarehe 31 Agosti, 2025 imekaa na kujadili rufaa kuhusu uteuzi wa wagombea Ubunge katika Jamhuri ya Muungano na Udiwani kwa Tanzania Bara zilizowasilishwa Tume...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
MGOMBEA wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, amesema kuwa endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, atatumia mbinu ya kipekee katika mapambano dhidi ya rushwa. Doyo amesema...
1 Reactions
3 Replies
482 Views
James Mbatia, mwanasiasa mkongwe wa Tanzania, ametoa kauli nzito kuhusu hali ya kisiasa na namna watu wenye mawazo tofauti wanavyotazamwa vibaya na mfumo wa serikali. Katika mahojiano ya hivi...
1 Reactions
9 Replies
660 Views
Wakuu kuanzia jana naona vyombo vingi vya habari vilianza kurusha kuwa Paul Makonda atachukua fomu kesho (ambayo ndiyo leo) ikatangazwa uwepo wa nyama choma nk. Leo siku ya tukio 26 Aug, 2025)...
6 Reactions
50 Replies
3K Views
Serikali chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya maboresho ya miundombinu ya madarasa katika shule za msingi na sekondari ambapo hadi sasa kiasi cha shilingi Bilioni 104.5 zimetumika...
0 Reactions
2 Replies
420 Views
Back
Top Bottom