Moja ya mambo ambayo binafsi siyapendi ni hali za watanzania zinavyotisha kimwonekano
Mfano sahivi kampeni zinaendelea za vyama mbalimbali ila ukiangalia wanaosikiliza kampeni hali zao zinatisha...
Mgombea Urais kupitia Chama cha National League For Democracy (NLD) Mhe. Doyo Hassan Doyo amesema akifanikiwa kupata ridhaa ya Watanzania na kuwa Rais wa Nchi atahakikisha anashusha Maslahi ya...
Shauri lililofunguliwa Invisible court liko hatua za Mwisho.
Court hio imemkuta na hatia mtuhumiwa
Sasa upande wa utetezi wanaomba shauri hilo liondolewe, Lakini imekuwa ngumu kwa kuwa Sababu...
MAPOKEZI YA MGOMBEA MWENZA MBOGWE
Mgombea Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Balozi. Dkt. Emmanuel Nchimbi akiteta jambo na Naibu Waziri...
Salaam!
Kuitaka Nafasi yoyote kisiasa ni sawa tu na Askari anapokwenda vitani maana unaenda kuhatarisha uhai wako kulinda nchi, ukishinda nchi imeshinda, ukishindwa, jirani yako ,adui yako...
Chanzo cha Wakenya kuvuka mpaka kuja Tanzania kusaka Vibarua ni baada ya nchi yao kuelemewa na Deni la Taifa
Hii imejulikana baada ya Waziri wao wa Fedha Mh Mbadi kuliambia Bunge la nchi hiyo...
Kuna anguko la serikali na kuna anguko la nchi. Mwalimu Nyerere alisema, “Ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora.” Kwa msingi wa hoja ya Mwalimu, kama hakuna watu, hakuna...
Wana mbeya hususan pale Vwawa alipoishi Mdude mlitakiwa mje na mabango mengi sana Maelfu kwa maelfu mkimuulizia mdude na wote waliopotea.
Tanga na nyie sijui kama ccm wamefika huko kwenye...
Kama ilivyo nchi za Ulaya (Uingereza, Uholanzi, Hispania n.k) umefika wakati nasi tuandalie vijana wetu kuongoza taifa siku zijazo. Japo Bumbuli wametoswa kindezi ila Mzee alipambana haswa ila...
Atakuwa Mpuuzi sana ambaye anadhani uchaguzi feki Huu Una maana kwao !!
Kwanza hawana stend!
Hawana soko!
Barababara kuu imekwama na pesa wamekula!
Mbaya zaidi ni mkoa hauna hospital ya viwango...
Nimeona ujumbe wa katibu mkuu wizara ya habari, ndugu Msigwa kumhusu Mange. Naungana naye kulaani vitendo vya uvunjifu wa sheria vinavyofanywa na watanzania wenzetu waliopo nje ya nchi. Rai yangu...
Salaam??
Code o5 ,
Jamani chakula cha hapa duniani ni kitamu sana. .....
Mda flan walimgomea injinia asile ugali wakampa chakula kingine.
Yani japo yawezekana waliona chakula kingine ndo kitam...
TUKAPIGIE KURA CHAMA CHA MAPINDUZI - DKT. SAMIA
DKT. SAMIA - NAWAOMBA WANAMBEYA TWENDE TUKAPIGIE KURA CHAMA CHA MAPINDUZI
Maelfu ya Wananchi waliojitokeza katika mkutano wa Mgombea wa Chama Cha...
Kama unabisha Fanya Utafiti namna Mzee Mwinyi alivyoasisi demokrasia ya Vyama vingi halafu mwaka wa Uchaguzi akajiweka kando kabisa Nyerere ndio tukamuona akisafiri huko na kule kumdhibiti meku...
Kuna picha inamwonesha mwanasiasa Nape Nauye aliyemwita mwendazake mshamba, akamla kichwa, Leo anachonga vinyagooo.
Leo hii NASIKIA Makamba amefungua Madrassa je nikweli?
WALIOKUWA makampeni...
Kila alipo rais wa nchi ya Kiafrika utakuta kuna mtu amesimama nyuma yake tofauti na viongozi wa mataifa makubwa. Je, huu ni ulinzi au udhalilishaji wa kawaida utokanao na mabaki ya ukoloni na...
Kama unabisha Fanya Utafiti tangu Enzi za mafisadi papa waliotuhumiwa na Mengi hakuna Chawa aliyetumwa kumtetea Aziz bali hutoka front yeye mwenyewe
Mwamba anajiamini mno
Kwako Lucas Mwashambwa
Ripoti mpya ya Africa Wealth Report 2025, iliyotolewa na kampuni ya ushauri wa uwekezaji wa kimataifa Henley & Partners kwa kushirikiana na New World Wealth, inaonyesha sura mpya ya bara la Afrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.