Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,927
- 22,083
Kwa waliosikia mwanzoni clouds fm jana ingawa nilichelewa kidogonikakuta tu mh mmoja wa uvccm kkwa wakati huo
alishajitaja jina akihojiwa na kuelezea baada ya rostamnani anafwata..kijana huyu alisema sisi kama uvccm
tumeweka wazi swala si kujiuzulu vyeo tunaitaji rostam afilisiwe mali zake zote nyingi amewaibia watanzania
askihirikiana na wah wengine kwenye bunge na wengine waliopo akasita kusema
pengine alikuwa anataka kusema ikulu akapatata kifafa cha mdomo...kijana huyo akasema huu uhuni wa kila mtu anakuja
kufanya ccm kichaka cha kujiimarisha utajiri sisi kama watanzania tunasema imetosha huyu mtu afilisiwe mahakamani na tabia ya rais kikwete kuwasaidia sasa ifike kikomo ajitoe kabisa na ushabiki wa mafisadi kama hawa
akabanwa tena kuhusu waliosalia akasema anasubiri ziishe 120 akadai unajua nec walitoa siku 90 sisi uvccm tumeongeza zetu30 baada yahapo maandamano mtindo mmojaa..hee kumbe na nyie mnajua soln ya matatizo ni maandamano
basi mbarikiwe kwa hili
alishajitaja jina akihojiwa na kuelezea baada ya rostamnani anafwata..kijana huyu alisema sisi kama uvccm
tumeweka wazi swala si kujiuzulu vyeo tunaitaji rostam afilisiwe mali zake zote nyingi amewaibia watanzania
askihirikiana na wah wengine kwenye bunge na wengine waliopo akasita kusema
pengine alikuwa anataka kusema ikulu akapatata kifafa cha mdomo...kijana huyo akasema huu uhuni wa kila mtu anakuja
kufanya ccm kichaka cha kujiimarisha utajiri sisi kama watanzania tunasema imetosha huyu mtu afilisiwe mahakamani na tabia ya rais kikwete kuwasaidia sasa ifike kikomo ajitoe kabisa na ushabiki wa mafisadi kama hawa
akabanwa tena kuhusu waliosalia akasema anasubiri ziishe 120 akadai unajua nec walitoa siku 90 sisi uvccm tumeongeza zetu30 baada yahapo maandamano mtindo mmojaa..hee kumbe na nyie mnajua soln ya matatizo ni maandamano
basi mbarikiwe kwa hili