Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa imemteua Ndg. Emmanuel Nchimbi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nchimbi anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Daniel...
17 Reactions
277 Replies
84K Views
Mimi binafsi niliona mahakama imepoteza mwelekeo kitendo cha kukubali kujenga vibanda vya njiwa ndani ya mahakama kisa Tundu Lissu...
3 Reactions
7 Replies
246 Views
Kama atakutwa na hatia ya uhaini na kupewa msamaha wa Rais atakuwa na sifa za kugombea udiwani, ubunge, urais na cheo kingine chochote. Kama lengo ni kumzuia kugombea urais tumnyonge au tumwache...
4 Reactions
9 Replies
120 Views
Kuna kila dalili ya Ema The Boy kung'atuliwa ila ni namna na wakati sahihi wa kumng'atua ndiyo Kizungumkuti. Inadaiwa katumiwa rafiki yake Jasusi Kutoka TISS, Ema kamjibu kawaambie waliokutuma...
18 Reactions
51 Replies
1K Views
Mbowe alizoea kuishi kwa siasa za kilaghai siasa kupitia damu za watu na kutengeneza wealth. Alivyokuja mwamba Magufuli akaona kumbe upinzani wanapiga kelele then unawaita Ikulu unawapa bahasha...
7 Reactions
105 Replies
3K Views
Leo ni siku ya kuzaliwa mtume Muhammad S. A.W,kiongozi wa kiislamu. Tutaangazia kidogo kuhusu msimamo wa Mtume Muhammad ktk swala la kutoa haki ktk vyombo vya mahakama. Upi ulikuwa msimamo wake...
5 Reactions
16 Replies
178 Views
Yote hii ni matakwa ya watu watano tu chamani yatimizwe, CCM yote kwa sasa iko kwa watu watano tu!na sio timu tena! Wengine wote wanaburuzwa tu, hawana cha kuamua wala chakulaani, ni watu wanao...
5 Reactions
16 Replies
295 Views
"Mtu mwenye akili akikushauri jambo la kipumbavu nawe ukafanya, atakudharau"- J.K Nyerere Mwaka 2023 nchi nzima iligawanyika sana. Watu wanamtetea MAMA na mradi wake wa DP World. Vinara wa huu...
55 Reactions
230 Replies
4K Views
Kumekua na kelele nyingi kuhusu huu muhimili wa mahakama kupokea maelekezo kwenye kesi ambazo serikali inakua na interest . Tuliona kwenye kesi ya Mbowe pamoja na kukutwa na kesi ya kujibu lakini...
0 Reactions
5 Replies
52 Views
𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨: 𝗧𝗨𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗘 𝗞𝗨𝗟𝗜𝗢𝗠𝗕𝗘𝗔 𝗧𝗔𝗜𝗙𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗔𝗠𝗔𝗡𝗜 WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa na kudumisha amani, akisema amani ni msingi unaowezesha...
2 Reactions
6 Replies
107 Views
Hamjambo! Bila kuwa na maneno mengi. Ni hakika katika nchi yetu kama ingekuwa zamani basi leo hii tungekuwa na Nabii aitwaye Tundu Antipas Lissu. Anatimiza vigezo vyote vya kuwa Nabii...
12 Reactions
40 Replies
348 Views
In fact kujiuzulu ni ushamba. Kwanza unajiuzulu ili umuuachie nani ulichokitafuta mwenyewe kwa nguvu na jasho lako usiku na mchana kwa niaba ya waTanzania wote? Lakini pia unajiuzulu ili uende...
6 Reactions
100 Replies
991 Views
Kiufupi hii nchi Kwa Sasa Kuna watu wamepata pesa nyingi sana ,kupitia ufisadi wa kiserikali kuliko walivyopata pesa nyingi kupitia madawa ya kulevya huku nyumba, huko zikiwa zote hizi ni...
6 Reactions
31 Replies
741 Views
Lissu kua mwenyekiti wa Chadema ilikua big mistake sana kwa sisi CCM hapo ndo tulitakiwa kuboresha siasa na kubadilika kuja kwenye siasa za kweli za kushindana kwa hoja kutoka na karne hii ya...
13 Reactions
27 Replies
519 Views
Nimeifuatilia hii kesi kwa karibu sana tangu mwanzo. Nimeifuatilia zaidi ilipofika kwa majaji huku mahakama kuu. Itoshe kusena kuwa kwa ushahidi wa serikali na utetezi huu anaoendelea kuutoa, na...
5 Reactions
73 Replies
961 Views
Ukianza na Serikali yote , Njoo kwenye Chama, kuanzia Wajumbe wa Halmashauri Kuu, Kamati Kuu, ni nani mwenye Akili yaan ni nani mule ana Akili??? Hata tukipitia safari zao za Kielemu !!!. Sasa...
10 Reactions
16 Replies
240 Views
Wahusika tatueni hii stimulus (salary advance) haraka Kuna watu wamefyekwa salary yote (jokes)🤣 Kupitia mitandao ya kijamii mbalimbali naona watu... wanasubiri salary advance kama vile wanasubiri...
7 Reactions
13 Replies
314 Views
TAREHE 28 AUGUST,2026 Mahali WAKILI HOUSE.Tutakuwa na Mjadala Muhimu kuhusu Demokrasia katika Taifa letu na Namna bora ya kutoka hapa tulipo. Tufuatilie Kupitia Wakili.tv na tutawatangazia vituo...
4 Reactions
14 Replies
127 Views
Back
Top Bottom