Tumezoea viongozi wetu na vyombo vya habari vya Bongo hutoa taarifa pale wanapokutana na viongozi mbalimbali wa kimataifa.
Nimejaribu kutafuta habari ya mkutano wa Waziri wa Mambo ya Nje na...
Mwaka 1964 palitokea jaribio la mapinduzi ya kijeshi wana Tanu wanasema lilikuwa ni kama maasi ya wanajeshi wa Tanganyika Rifles.
Chanzo ilikuwa Nyerere hakuwapa vyeo maaskari weusi wa...
Tununuapo gesi huwa mitungi inapimwa kwa kutumia vimizani vya kila aina visivyo na ubora, sasa wakati umefika wa kuondokana na hivyo vimizani vinavyotupunja ujazo na mamlaka ilazimishe makampuni...
Na. M. M. Mwanakijiji
https://www.youtube.com/watch?v=4mGDNsyA53g
Nilipata nafasi siku hizi mbili tatu kukutana na watu muhimu sana kwenye sakata la mauaji ya Oktoba 29-Novemba... Kitu ambacho...
Kwa hiyo sasa hivi watanganyika wakiwa na shida na Rais wamfate huko kwao zanzibari wakiwa nabarua za utambulisho kutoka Kwa wenyeviti wa mitaa?
Swali jingine, je matumizi ya statehouse ambazo ni...
Daa Tanzania will never be the same again.
Uko TikTok Kuna jamaa anajiita Habi, huyu mtu ana kiswahili Fulani hivi Cha kimagaribi. Jamaa ana confidence hatari saana lakini pia anaonekana ana buck...
Katika mambo ambayo yameigharimu sana Tanganyika na kuidumaza huenda hata sio siasa ya ujamaa zaidi bali siasa za kikanda(geopolitics) za Nyerere ambazo hazikuzingatia maslahi ya uchumi wa...
Roho ilinitanga sana. Nikamkumbuka Mzee kibao na mateso waliyompa.
Nikamuombea Misa apumzike pema Peponi.
Kifo Ni Kifo hutakuja kupata mwisho mwema! MUNGU sio Athumani! Atajibu Misa Yangu!
TAARIFA KWA UMMA
Jana Septemba 6,2024 zilisambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikieleza kuwa jioni maeneo ya Tegeta Jijini Dar es Salaam, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ally Mohamed...
Ndugu zangu Watanzania,
Usishindane na aliyebarikiwa na Mungu, huwezi kumshusha aliyeinuliwa kwa mkono wa Mungu,Huwezi Kumpaka matope na kumchafua aliyepewa kibali na Mungu . Rais Samia kwa...
Rais wa Namibia Netumbo Ndemupelila Nandi-Ndaitwah na Rais wa zamani wa Tanzania Jakaya Kikwete Mkutano wa Wakuu wa Umoja wa Afrika (AU) Jijini Addis Ababa.[/URL]
Ni vizuri Watanzania tupiganie kwa namna yeyote ile hadi tupate Katiba mpya kabla ya muhula wa rais Samia. Katika katiba hii lazima kipengee cha kiongozi kuweza kushtakiwa kiwemo. Tena kipengee...
Wanasiasa wa Tanzania wanalakujifunza kuhusu issue ya Epstein. Mjue kuwa mambo yenu machafu mnayofanya ili mbaki madarakani kama mauaji ya October 29 na ushetani mwingine mwingi siku moja...
Aisee hii habari imenisikitisha na kufanya nifikirie mara 2 mbili kwamba hizi Nchi za watu weusi zinaweza kitu gani hasa Cha maana zaidi ya kuzaana?
Yaani Afrika Kusini,Kenya na Tanzania ndio...
Sababu nambari 1 kwanini nimeamua kuwa upande wa Samia hata kama ana ubaya ni Watanzania kumwabudu Jiwe. Jiwe mtu mwovu sana .
Yote kwa yote katika kipindi cha utawala wake wananchi waliishi...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Mada ya leo ni hoja ya Makamu Rais kuwaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia. Swali ni hii hoja ya rais kuombewa, je rais...
Hivi karibuni kumekuwepo na Kesi ya ,
Sasa katika uendeshaj wa Kesi hii kumekuwepo na mapungufu mengi, kuanzia Offisi ya mwendesha Mashtaka, na ma mashahidi wenyewe, kiasi kwamba Nina jiuliza...
Kwa wakati huu, wasio wanachama wa CCM wanaiona CCM kama ni ya watu wakatili, wauaji, mafisadi, wenye kiburi, wasio na uzalendo nk.
Umewahi kujiuliza Chadema wakichukua nchi watafanyaje kwa hawa...
Habari za Wakati huu;
Kuna mambo ukiyatazama kwa mbali na hata kwa ukaribu huwezi kuelewa kabisa.
1. La kwanza ni hili la Tundu Lisu.Tundu Lisu amewekwa Gerezani takribani Mwaka mmoja.Amewekwa...
Alichosema mtengeneza maudhui ya kukosoa serikali ya Tanzania ni kuwa Humphrey Polepole amekuwa akihamishwa hamishwa sehemu anazohifadhiwa.
Amedai kuwa anapohamishwa huvishwa nguo nyeusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.