The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Nakumbuka kauli ya JK na hapa namnukuu "Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani" kauli hiyo ni ya kijasusi na yenye mlengo wa kuwafanya wanachama na viongozi wandamizi kutoaminiana.
Leo gazeti la chama UHURU limerusha jiwe gizani na wote tumeyasikia makelele na sauti za kupatwa na jiwe hilo. Mfumo huu umeandaliwa kwa weledi wa hali ya juu na wahafidhina ndani ya chama.
Mtego wa kwanza wa kujua mipango ya Rais umekamilika na tayari wahafidhina washajua malengo ya bi mkubwa. Na baada ya mpango kukamilika wameamua kuupotezea kwa kushauri hatua za kinidhamu zichukuliwe kwa wahariri but tayari malengo yao yameshakamilika. Jambo linalofuata ni kuwajua walio nyuma yake na mpango huo umeanza kusukwa kuanzia kwenye kupinga Chanjo.
Gwajima hayupo peke yake na yupo pale kuwajua walio upande wao tayari kuanzisha misukosuko. Taget ya mwisho itatoka nje kabisa ya chama nayo ni Katiba mpya.
HAKUNA JIWE LITABAKI JUU YA JIWE JINGINE.
Leo gazeti la chama UHURU limerusha jiwe gizani na wote tumeyasikia makelele na sauti za kupatwa na jiwe hilo. Mfumo huu umeandaliwa kwa weledi wa hali ya juu na wahafidhina ndani ya chama.
Mtego wa kwanza wa kujua mipango ya Rais umekamilika na tayari wahafidhina washajua malengo ya bi mkubwa. Na baada ya mpango kukamilika wameamua kuupotezea kwa kushauri hatua za kinidhamu zichukuliwe kwa wahariri but tayari malengo yao yameshakamilika. Jambo linalofuata ni kuwajua walio nyuma yake na mpango huo umeanza kusukwa kuanzia kwenye kupinga Chanjo.
Gwajima hayupo peke yake na yupo pale kuwajua walio upande wao tayari kuanzisha misukosuko. Taget ya mwisho itatoka nje kabisa ya chama nayo ni Katiba mpya.
HAKUNA JIWE LITABAKI JUU YA JIWE JINGINE.