Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Nilitegemea leo Lisu awe mkali kuleta shahidi mmoja. Huyu aliyefiwa aachwe lakini walikubaliana angalau kwa siku walete mashahidi 3, sasa inakuwaje aje mmoja? Yule amefiwa , wa tatu vipi?
1 Reactions
Replies
Views
Kwanini mashahidi wote ktk kesi ya Lissu ni wakiristo? Kila anaelizwa dini ya shahidi, hujitambulisha mkiristo
5 Reactions
75 Replies
1K Views
Huyu boss kaacha ofisi anazunguka na waziri mkuu, hajataka kumwachia mtu majukumu kwa mda, anataka kote awe yeye Huko alipo hafanyi kazi yoyote zaidi kukaa kwenye V8 na kutumia mafuta kwa kodi za...
8 Reactions
9 Replies
333 Views
Picha ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (ICC), Balozi Mahmoud Thabiti Kombo na Naibu Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), Mame Mandiaye Niang...
6 Reactions
21 Replies
730 Views
Mzee Wasira akihojiwa na Mwananchi amesema wajumbe wa kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29 hawapaswi kuwa questioned zaidi ya intergrity yao. Kama ni suala la kuapa kulinda katiba, hata Lissu na Heche...
1 Reactions
13 Replies
237 Views
Matukio ya Oktoba 29 yalikuwa jaribio la makusudi, lililopangwa kwa umakini na kufadhiliwa kikamilifu kutoka nje, lenye lengo la kuhujumu uthabiti wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpango huu...
3 Reactions
76 Replies
1K Views
The President elect of Uganda 🇺🇬 HE. Robert Kyagulanyi Ssentamu will address the 2026 Geneva Summit via video on 18th February 2026. ⌚Time: Morning to Evening (Geneva Time) 📌 We encourage...
6 Reactions
11 Replies
740 Views
mpendwa Samia kama utapata bahati ya kwenda the hague kwenye detention yao unauhakika wa kula milo mitatu tena iliyo pangiliwa kitaalumu kwa virutubisho vizuri. Hata kipindi cha break ukiwa...
15 Reactions
28 Replies
556 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amepuuza madai kuwa Tume ya Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman inaweza kuwa na upendeleo kwa Serikali, akifafanua kuwa...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Imenitoa machozi. Kisa anapishana na mawazo yako na wala si adui wakako! Ulifanya kitu kibaya!
1 Reactions
9 Replies
240 Views
Wakuu, Akizungumza hivi karibuni kwenye kwenye mkutano Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji (ABC) Meneja wa Huduma za Utangazaji (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka amesema kuwa wamependekeza...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Nipo huku SA. Hawa jamaa wamekuwa waduanzi sana. Wanatusimanga kwa maneno ya hovyo utadhani baba yao naye ana kitu cha maana. Wanasema mama yenu ana IQ ya 40. Nawatizama nawatukana kimoyo moyo...
4 Reactions
17 Replies
241 Views
TOILET PAPER. Media house ni corrupted kwa kiwango kisichorekebishika. Narejea katuni ya @masoudkipanya alipozifananisha na ‘toilet paper’. Nafikiri hakukosea. Zinaogopa kuripoti...
9 Reactions
7 Replies
244 Views
Nimesikiliza taarifa ya habari ya leo jumanne saa nne usiku ya ITV, nimestushwa na namna TV hii inavyoripoti mwenendo wa kesi ya Lissu. TV hii inaelezea maelezo ya mashahidi wa Jamhuri dhidi ya...
19 Reactions
27 Replies
594 Views
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) ametangaza rasmi kuanza kutumika kwa Kitita cha Huduma Muhimu cha Bima ya Afya kwa Wote kwa awamu ya kwanza. Amesema kuwa kitita hicho kitaanza...
3 Reactions
16 Replies
395 Views
POLENI WATANZANIA, TUJISAHIHISHE Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) linafuatilia kwa karibu na limepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za vifo vya Watanzania wenzetu, wakiwamo wanahabari na...
0 Reactions
4 Replies
342 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, ameeleza kuwa mchakato wa maridhiano ya kitaifa haupaswi kutumika kama kinga ya kukwepa uwajibikaji wa kisheria kwa wale...
0 Reactions
4 Replies
258 Views
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza kusikitishwa na taarifa za kifo cha Kada wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Sekretarieti, Ndugu Mohamed Ali Kibao. Katika...
2 Reactions
5 Replies
619 Views
Hebu kama nchi kama taifa linalotumia dharama kubwa kumtumia waziri wa mambo ya nje kupuyanga mataifa MBALI MBALI kurejesha heshima ya nchi. "Eti Mimi ni dereva bodabida nilipoiona clip ya Lissu...
1 Reactions
1 Replies
101 Views
Na Mwl Udadis, Nyakato-Mwanza Rais Samia anaendelea kuonyesha upendo wa dhati na dhamira thabiti kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa kupitia miradi mikubwa inayobadilisha maisha, biashara na uchumi wa...
3 Reactions
29 Replies
392 Views
Back
Top Bottom