Kifo cha mpishi wake kilimshtua sana,lakini kabla ya hapo,kitendo cha kuchomwa matako kwa mtu aliyejitokeza kukemea kutukanwa kwake,nacho kilifikirisha sana.
Ndugu Nchimbi ni mwanafunzi aliyeiva...
Vijana na watoto wana imani iliyopitiliza kuhusu Katiba tunayoitaka kuwanayo.
Wapewe elimu kuhusu katiba ya sasa na Katiba inayotakiwa iandikwe, la sivyo huenda tukaandaika katiba upya baada ya...
Utake usitake barua yako ya kujiuzulu itakuwa hadharani.
Hayati Spika Ndugai, Makamu wa Rais mstaafu Mpango, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu wa CCM mstaafu Daniel Chongolo wote...
Wakili Godfrey Wasonga, amependekeza Serikali kuangalia upya mfumo wa upelelezi na uendeshaji wa kesi za ugaidi na uhaini, akisema makosa hayo ni makubwa na yanahitaji viashiria vya kutosha kabla...
1. Kwanza kutumika na CCM kupoteza watu wenye maono wanaochipukia ndani ya chama. Yani Mbowe alimtoa kafara Ben saanane yeye anajua, Mungu anajua na Atalipia yeye na kizazi chake. Hasa watoto...
Nimedokezwa kuwa upo mpango mahususi unaandaliwa ili bwana Mbowe apewe ile nafasi. Mpeni tu maana hamna tena aibu kuficha mauchafu yenu.
Litakuwa ni pigo kwa yule bwana kuondoka.
Naona mnaangaika na Emanule Nchimbi sijui kama mmepata mafasi ya kutafakari vizuri suala la nchimbi hata tu kujiuzuru tu litazidi kuleta mpasuko mkubwa ndani ya Chama cha Mpinduzi...
Kama itatokea Makamu wa Rais akijiuzulu, nafasi yake inakuwa wazi kwa mujibu wa Ibara ya 50(2) (c). Kisha, kwa mujibu wa Ibara ya 50(4), Rais anatakiwa kumteua mtu mwingine kuwa Makamu wa Rais...
Na. M. M. Mwanakijiji
Kuna vitu sitaki kuamini hata kama vinaonekana kuaminika kwa wengine. Yaani, leo hii Emmanuel Nchimbi amegeuka kuwa shujaa wa upinzani ati kwa vile ameonekana kutetea Katiba...
Wiki hii imeanza kwa wafuasia wa Lissu na Heche kumshambulia vikali mwasisi wa CHADEMA mheshimiwa Freeman Aikael Mbowe baada ya yeye kuhudhuria sherehe za uzinduzi wa bwawa la umeme la Nyerere...
Mzee Aboud Jumbe amefariki dunia muda si mrefu. Ni baada ya kuugua muda mrefu. Amefia nyumbani kwake Mjimwema Kigamboni. Marehemu alizaliwa Juni 14, 1920.
=======
UPDATE:
JamiiForums...
Wanabodi,
Hii ni safu yangu mpya inayoitwa PNA, kirefu chake ni PPR News Analysis. Tamka (P.N.A)
Hapa nitakuwa nawawekea News Analysis ya habari kubwa yoyote yenye maslahi kwa taifa.
PNA ni...
Nisingeishi China nisingeamini hii.
Wachina katika mikutano yao ya Chama: walikuwa wanasimuliana stori za namna hii;
Mtu anasema, kwa mfano,
kwamba alikuwa anaendesha gari,gari ikaharibika...
Mkimuona Mbowe popote pale, awe kwenye Mradi wa Serikali, awe añaupiga picha na Samia, Awe kwenye chombo chochote cha habari, MPUUZENI, MSIMUONGELEE KWA NAMNA YOYOTE ILE.
Hana jipya, keshajifia...
Mufti Mkuu na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakar Zubeir bin Ally, amewakosoa vikali viongozi wa dini (masheikh na waalimu) kwa kukaa kimya wakati viongozi wa nchi—wakiwemo Rais, Serikali na...
Nakumbuka kauli ya JK na hapa namnukuu "Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani" kauli hiyo ni ya kijasusi na yenye mlengo wa kuwafanya wanachama na viongozi wandamizi kutoaminiana.
Leo gazeti...
Habari wana wa Mungu jf popote mlipo, amani Bwana ikawe juu yenu.
Mungu akanionesha yeyote aliye nyuma kuhujumu mwana wa Mungu Lissu sio muda atakufa mdomo wazi.
Mwachieni mapema sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.