Nilitegemea leo Lisu awe mkali kuleta shahidi mmoja.
Huyu aliyefiwa aachwe lakini walikubaliana angalau kwa siku walete mashahidi 3, sasa inakuwaje aje mmoja?
Yule amefiwa , wa tatu vipi?
Huyu boss kaacha ofisi anazunguka na waziri mkuu, hajataka kumwachia mtu majukumu kwa mda, anataka kote awe yeye
Huko alipo hafanyi kazi yoyote zaidi kukaa kwenye V8 na kutumia mafuta kwa kodi za...
Picha ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (ICC), Balozi Mahmoud Thabiti Kombo na Naibu Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), Mame Mandiaye Niang...
Mzee Wasira akihojiwa na Mwananchi amesema wajumbe wa kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29 hawapaswi kuwa questioned zaidi ya intergrity yao. Kama ni suala la kuapa kulinda katiba, hata Lissu na Heche...
Matukio ya Oktoba 29 yalikuwa jaribio la makusudi, lililopangwa kwa umakini na kufadhiliwa kikamilifu kutoka nje, lenye lengo la kuhujumu uthabiti wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mpango huu...
The President elect of Uganda 🇺🇬 HE. Robert Kyagulanyi Ssentamu will address the 2026 Geneva Summit via video on 18th February 2026.
⌚Time: Morning to Evening
(Geneva Time)
📌 We encourage...
mpendwa Samia kama utapata bahati ya kwenda the hague kwenye detention yao
unauhakika wa kula milo mitatu tena iliyo pangiliwa kitaalumu kwa virutubisho vizuri.
Hata kipindi cha break ukiwa...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amepuuza madai kuwa Tume ya Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman inaweza kuwa na upendeleo kwa Serikali, akifafanua kuwa...
Wakuu,
Akizungumza hivi karibuni kwenye kwenye mkutano Mkuu wa Mwaka wa Vyombo vya Utangazaji (ABC) Meneja wa Huduma za Utangazaji (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka amesema kuwa wamependekeza...
Nipo huku SA. Hawa jamaa wamekuwa waduanzi sana. Wanatusimanga kwa maneno ya hovyo utadhani baba yao naye ana kitu cha maana.
Wanasema mama yenu ana IQ ya 40. Nawatizama nawatukana kimoyo moyo...
TOILET PAPER.
Media house ni corrupted kwa kiwango kisichorekebishika. Narejea katuni ya @masoudkipanya alipozifananisha na ‘toilet paper’. Nafikiri hakukosea.
Zinaogopa kuripoti...
Nimesikiliza taarifa ya habari ya leo jumanne saa nne usiku ya ITV, nimestushwa na namna TV hii inavyoripoti mwenendo wa kesi ya Lissu. TV hii inaelezea maelezo ya mashahidi wa Jamhuri dhidi ya...
Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa (Mb) ametangaza rasmi kuanza kutumika kwa Kitita cha Huduma Muhimu cha Bima ya Afya kwa Wote kwa awamu ya kwanza.
Amesema kuwa kitita hicho kitaanza...
POLENI WATANZANIA, TUJISAHIHISHE
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) linafuatilia kwa karibu na limepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za vifo vya Watanzania wenzetu, wakiwamo wanahabari na...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, ameeleza kuwa mchakato wa maridhiano ya kitaifa haupaswi kutumika kama kinga ya kukwepa uwajibikaji wa kisheria kwa wale...
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeeleza kusikitishwa na taarifa za kifo cha Kada wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) na Mjumbe wa Sekretarieti, Ndugu Mohamed Ali Kibao.
Katika...
Hebu kama nchi kama taifa linalotumia dharama kubwa kumtumia waziri wa mambo ya nje kupuyanga mataifa MBALI MBALI kurejesha heshima ya nchi.
"Eti Mimi ni dereva bodabida nilipoiona clip ya Lissu...
Na Mwl Udadis, Nyakato-Mwanza
Rais Samia anaendelea kuonyesha upendo wa dhati na dhamira thabiti kwa wakazi wa Kanda ya Ziwa kupitia miradi mikubwa inayobadilisha maisha, biashara na uchumi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.