Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kifo cha mpishi wake kilimshtua sana,lakini kabla ya hapo,kitendo cha kuchomwa matako kwa mtu aliyejitokeza kukemea kutukanwa kwake,nacho kilifikirisha sana. Ndugu Nchimbi ni mwanafunzi aliyeiva...
0 Reactions
0 Replies
53 Views
Vijana na watoto wana imani iliyopitiliza kuhusu Katiba tunayoitaka kuwanayo. Wapewe elimu kuhusu katiba ya sasa na Katiba inayotakiwa iandikwe, la sivyo huenda tukaandaika katiba upya baada ya...
0 Reactions
0 Replies
21 Views
Utake usitake barua yako ya kujiuzulu itakuwa hadharani. Hayati Spika Ndugai, Makamu wa Rais mstaafu Mpango, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu wa CCM mstaafu Daniel Chongolo wote...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
Wakili Godfrey Wasonga, amependekeza Serikali kuangalia upya mfumo wa upelelezi na uendeshaji wa kesi za ugaidi na uhaini, akisema makosa hayo ni makubwa na yanahitaji viashiria vya kutosha kabla...
0 Reactions
1 Replies
35 Views
1. Kwanza kutumika na CCM kupoteza watu wenye maono wanaochipukia ndani ya chama. Yani Mbowe alimtoa kafara Ben saanane yeye anajua, Mungu anajua na Atalipia yeye na kizazi chake. Hasa watoto...
2 Reactions
6 Replies
128 Views
Nimedokezwa kuwa upo mpango mahususi unaandaliwa ili bwana Mbowe apewe ile nafasi. Mpeni tu maana hamna tena aibu kuficha mauchafu yenu. Litakuwa ni pigo kwa yule bwana kuondoka.
4 Reactions
12 Replies
167 Views
Naona mnaangaika na Emanule Nchimbi sijui kama mmepata mafasi ya kutafakari vizuri suala la nchimbi hata tu kujiuzuru tu litazidi kuleta mpasuko mkubwa ndani ya Chama cha Mpinduzi...
2 Reactions
10 Replies
159 Views
Kama itatokea Makamu wa Rais akijiuzulu, nafasi yake inakuwa wazi kwa mujibu wa Ibara ya 50(2) (c). Kisha, kwa mujibu wa Ibara ya 50(4), Rais anatakiwa kumteua mtu mwingine kuwa Makamu wa Rais...
0 Reactions
1 Replies
216 Views
Na. M. M. Mwanakijiji Kuna vitu sitaki kuamini hata kama vinaonekana kuaminika kwa wengine. Yaani, leo hii Emmanuel Nchimbi amegeuka kuwa shujaa wa upinzani ati kwa vile ameonekana kutetea Katiba...
44 Reactions
110 Replies
2K Views
Wasalaam. Siku zote katika bara letu Africa watu wenye akili kubwa na maono huchukuliwa ni wasaliti, why?
1 Reactions
2 Replies
69 Views
Wiki hii imeanza kwa wafuasia wa Lissu na Heche kumshambulia vikali mwasisi wa CHADEMA mheshimiwa Freeman Aikael Mbowe baada ya yeye kuhudhuria sherehe za uzinduzi wa bwawa la umeme la Nyerere...
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Mzee Aboud Jumbe amefariki dunia muda si mrefu. Ni baada ya kuugua muda mrefu. Amefia nyumbani kwake Mjimwema Kigamboni. Marehemu alizaliwa Juni 14, 1920. ======= UPDATE: JamiiForums...
18 Reactions
600 Replies
111K Views
Wanabodi, Hii ni safu yangu mpya inayoitwa PNA, kirefu chake ni PPR News Analysis. Tamka (P.N.A) Hapa nitakuwa nawawekea News Analysis ya habari kubwa yoyote yenye maslahi kwa taifa. PNA ni...
12 Reactions
47 Replies
1K Views
Nisingeishi China nisingeamini hii. Wachina katika mikutano yao ya Chama: walikuwa wanasimuliana stori za namna hii; Mtu anasema, kwa mfano, kwamba alikuwa anaendesha gari,gari ikaharibika...
4 Reactions
4 Replies
101 Views
Mkimuona Mbowe popote pale, awe kwenye Mradi wa Serikali, awe añaupiga picha na Samia, Awe kwenye chombo chochote cha habari, MPUUZENI, MSIMUONGELEE KWA NAMNA YOYOTE ILE. Hana jipya, keshajifia...
5 Reactions
21 Replies
187 Views
Mufti Mkuu na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakar Zubeir bin Ally, amewakosoa vikali viongozi wa dini (masheikh na waalimu) kwa kukaa kimya wakati viongozi wa nchi—wakiwemo Rais, Serikali na...
3 Reactions
14 Replies
186 Views
Na kwakuwa CCM wengine ni fuata upepo ukweli upo mioyoni mwao, Hiyo ndiyo habari iliyopo mezani
0 Reactions
1 Replies
48 Views
Nakumbuka kauli ya JK na hapa namnukuu "Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani" kauli hiyo ni ya kijasusi na yenye mlengo wa kuwafanya wanachama na viongozi wandamizi kutoaminiana. Leo gazeti...
33 Reactions
129 Replies
13K Views
Habari wana wa Mungu jf popote mlipo, amani Bwana ikawe juu yenu. Mungu akanionesha yeyote aliye nyuma kuhujumu mwana wa Mungu Lissu sio muda atakufa mdomo wazi. Mwachieni mapema sana...
2 Reactions
33 Replies
344 Views
Back
Top Bottom