JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna huu wimbo nikisikia redioni kwamba jamaa anaogopa kurudi nyumbani mapema kuepuka kelele za mkewe (VUVUZELA). Hivi kuna watu kweli wamefikia hatua hiyo inayopelekea mwenza ajicheleweshe...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Nlikua ndani ya daladala, tulipofika kwenye kituo fulani mateja wakazinguana na konda na kuanza kutukana tena matus ya nguoni....mama m1 karibu yangu akaanza kulalamika na kusema jamani sasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Maiti moja ilikuwa inaoshwa. Mara gafla ikacheka sanaaa. Mwoshaji akaiuliza Mbona unacheka sana unacheka nini? Maiti ikajibu unanitekenya bwana.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Naiombea chupi ya mume wangu, naitakasa kwa damu yako anapotoka nyumbani katika nyumba hii, ivaliwe hapa na ivuliwe hapahapa tu, kama ataivua sehemu nyingine tofauti na nyumbani baba basi iwe ni...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Dada mmoja kutoka sehemu fulani alitembea na mchina mmoja ili apate mtoto wa kichina. Akapata mimba akajifungua mtoto wa kiume na bahati mbaya mtoto huyo akafariki. Kwenye mazishi ya mtoto...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mie mgeni naombeni uenyeji kwenye hili jamvi. Ahsanteni
0 Reactions
2 Replies
982 Views
Mi nashangaa serikali hii,eti kampeni kamata kamata vijana wala unga!kwani nani asiyekula unga nchi hii?rais anakula unga,mawasiri wanakula unga,wambunge wanakula unga,matajiri kwa masikini wote...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kitabu kina kurasa 240.Kila siku Tom anasoma nusu ya kurasa zilizobakia.(SWALI):Tom atamaliza kusoma hiki kitabu baada ya siku ngapi?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wapenzi wote nawatakia weekend njema na maisha mema! wale wachakachuaji remember to use protection..! Lov u all
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Machine Diagnosis One day, Pete complained to his friend, "My elbow really hurts. I guess I should see a doctor." His friend said, "Don't do that. There's a computer at the drug store that can...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
A little boy came down for breakfast one morning and asked his grandma, "Where's Mom and dad? " She replied, "they're up in bed " So the little boy started to giggle and ate his breakfast and...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Babu mmoja alikuwa akivuka barabara,ghafla akagongwa na baiskeli akazimia,wasamalia wema wakamweka kando ya barabara,mpita njia akasema "mnunulieni maziwa "Gafla yule babu akasema na bagia za...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
On the recollection of so many and great favors and blessings, I now, with a high sense of gratitude, presume to offer up my sincere thanks to the Almighty, the Creator and Preserver. Thank You...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nikiwa maeneo ya kimara_resort jana usiku nilijikuta nashuhudia vurumai moja matata.Mwanamke mmoja anayesadikika kula na shemeji yake alafu pia kukimbiwa na mumewe na kukimbilia Marekani alizua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Doctor: Your husband needs rest and peace. Here are some sleeping Pills. Wife: When must I give them to him? Doctor: They are for you,
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mfugaji kasuku alimrudisha kasuku kwa muuzaji ampe mwengine, "huyu ana matusi sana!" muuzaji akampa mwengine,na kumwambia huyu kasuku ni mstaarabu,"akiinua mguu wa kulia huongea kizungu, akiinua...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Basi rafiki yangu Juma alikwenda Mbeya,alipofika kule akakutana na swahiba zake akina Mwakipesile,Mwambigija,Mwakalinga na Mwamunyange.Ili kuimarisha mira na urafiki wao akaomba nae aongezewe neno...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
I know you are reading my posts but why cant you hear my cries? Belinda you are the tree and I am the bird choosen to stop over your branches....You have seen my downs dear,you have seen my hands...
0 Reactions
110 Replies
7K Views
Kuna jamaa alikuwa bado hakuwahi kusex hadi kufikia kuoa. Wakati arusi ikikaribia, ilibidi amtake ushauri baba yake ajue afanye nini na vipi. Damu nzito, baba akamshauri mwanawe. "Sio kitu...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Tanesco mlitakiwa kukata umeme tangu saa 12 jioni hapa arusha na hamjakata. Nimewapigia kuwakumbusha lakini mpaka sasa hivi hawajachukua action
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom