Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Nlikua ndani ya daladala, tulipofika kwenye kituo fulani mateja wakazinguana na konda na kuanza kutukana tena matus ya nguoni....mama m1 karibu yangu akaanza kulalamika na kusema jamani sasa matusi ya nini? Konda kamjibu mama....aah achana nao mama....******* tu hao........