JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Unamega mke wa ndoa wa mdogo wako, kawafumanieni kitandani, then kaondoka bila kuwaulizeni chochote. Hajamuulize mkewe wala wewe. Je ukikaa chemba huwa unamuwazia nini nduguyo? Je umuue siri...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
WanaJF, leo ni siku yangu ya kuzaliwa! Naadhimisha siku hii muhimu kwenye maisha yangu kwa kutafakari mambo mengi. Lakini jambo moja kubwa ni kumcha Mungu kwa kila hatua ya maisha yetu ili tuzidi...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Mi navutiwa na Sydney Sheldon, vitabu vyake ni noma. Mungu ailaze pema roho yake.
0 Reactions
29 Replies
4K Views
jamani naomba kazi CV yangu hiyo
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Soseji... Waskhaji wawili walikuwa na elfu mbili tu na pombe wanaitaka. Mmoja akaichukua na kuingia duka la soseji akaitumia yote wakaanza safari ya bar. M: Ona sasa umetumia buku...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Nlikua ndani ya daladala, tulipofika kwenye kituo fulani mateja wakazinguana na konda na kuanza kutukana tena matus ya nguoni....mama m1 karibu yangu akaanza kulalamika na kusema jamani sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hizi ni stori za Sumbawanga, tumekuwa tukizisikia sana lakini hatujazithibitisha. Miongoni mwa stori hzi ni kwamba kuna mkuu mmoja wa mkoa aliteuliwa enzi za Nyerere. Alipoenda kujitambulisha kwa...
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Mod please please, namba muweke kitu kitakachokuwa kinarate threads na post, from hoght to low, itasaidia sana kusave muda, please mods
0 Reactions
0 Replies
913 Views
Ni ajabu kwasababu heading ya post hii imesema ni wanawake tu ndo wanatakiwa wasome hii lakini WE UNAESOMA NI MWANAUME.....,
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Heaven is when you have: * An American salary. * A british home. * Chinese food. * A Swiss economy. * An Italian body. * A Japanese technology. * An African tool. (Baraka...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Women may enter the store ONCE to make a purchase.There are 6 floors,and the attributes of the men for sale on each floor are detailed outside.Although you can choose a man from any floor,once you...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Je kuna mahali sahihi pa kukutana? Nilipata kuonana na dada mmoja njiani, nilisikia jina lake wakati akiitwa na mwenzake, hapo nikapata jinsi ya kumuingia, baada ya story za hapa na pale...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamaa kanunua Program, kabla ya ku install imekuja hii kitu, kabaki anabung'aa macho tu hajui nini cha kufanya.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Watoto watatu walikuwa wanabishana kuhusu baba zao.Majibishano yalikuwa ka ifuatavyo Mtoto wa1: Baba yangu anakimbia sana hadi ukirushwa mshale anaanza kufika yeye kabla ya mshale Mtoto wa 2: We...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Little jimmy went to school every day with a black eye.. One day teacher asked him why does he have a black eye every day?? Little jimmy replied..we have a very small home so me..my mom and dad...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajf tujikumbushe zile chemsha bongo za primary mfano; 1. Kati ya kilo 1 ya mawe na kilo 1 ya manyoya ya kuku ipi nzito?=mawe 2.mtini kulikuwa na ndege 100 Juma alirusha jiwe na kuua ndege...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Wana jf tafadhali nisaidieni maana halisi ya neno "mwanafalsafa"
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WIFE: I wrote your name on sand it got washed. I wrote your name in air, it was blown away. Then I wrote your name on my heart & I got Heart Attack. HUSBAND: God saw me hungry, he created pizza...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom