lidoda
JF-Expert Member
- Apr 27, 2008
- 641
- 574
Basi rafiki yangu Juma alikwenda Mbeya,alipofika kule akakutana na swahiba zake akina Mwakipesile,Mwambigija,Mwakalinga na Mwamunyange.Ili kuimarisha mira na urafiki wao akaomba nae aongezewe neno Mwa kabla ya jina lake yaani Juma
hivyo akaitwa Mwajuma.
nae akawa M-mbeya.