Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Nimekuwa nikijiuliza kuwa huko bungeni huwa kuna nini kinachowafutia wa watanzania wengi wapende kuwa wawakilishi wa wananchi/wabunge??????Unakuta mtu alikuwa Mkurugenzi wa shirika kubwa,au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani, gavana anajua nini tusichojua? Anatishiwa toka juu? Wenye data...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tangazo La Shughuli. Familia Ya Kina Kilemela Ya Great Ormond Street London, Ina Furaha Kuwatangazia Shughuli Ya Ngoma Ya Binti Zao, Asia Na Fatma Kilemela Itakayofanyika 65 Orde Hall Street...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Hodi janvini kwa heshima na taadhima. Mimi nimeguswa na kusikitishwa na wizi unaofanywa na hizi financial institution zinazotoa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali. In my case i will use B Blue...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Tunasubiri kuona kama ripoti ya EPA licha ya kutaja walioiba fedha zetu na kuzirudisha kinyemela itatuambia pia kuwa watasimamishwa mahakamani kwa kuhujumu uchumi, kujipatia mali kwa njia ya...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
We need weeks to decide on support, says Finland 2008-03-14 09:25:40 By Guardian Reporter Finland said yesterday it needs a few weeks to know whether the reported massive misuse of funds...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa masikitiko makubwa sana nashindwa kuamini kile kinachoendelea kwenye taifa hili eti kuna mtu ama watu wanaweza kutuibia mabilioni ya pesa na kisha wakigundulika wanaambia warudishe na hakuna...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Wakuu, hii imekaa vipi? Naona wanajeshi wetu wako Lebanon, na Wengine wanaelekea Comoros. Is this economical? Who is financing? What are the benefits to us? Is it not cheaper and more effective...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Napenda kujiendeleza kielimu,ingawa ni mtu mzima wa zaidi ya miaka 50( Elimu haina mwisho) My intention is to pursue a bachelor's degree in Commerce.I am a working man and for the last 20 years...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
CCM yasikitishwa Rais Jakaya kuhusishwa na ufisadi Mwandishi Wetu Daily News; Wednesday,March 12, 2008 @00:03 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesikitishwa na kauli ya kumtuhumu Rais Jakaya...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Waheshimiwa Waungwana wa Jambo Forums, Napenda kujitokeza kwenu kutoa ushauri wangu wa jinsi ambavyo tunaweza kuanza kuitumia taasisi hii nyeti katika kuleta maendeleo na mabadiliko pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Richmond, EPA kuibukia Butiama Mwandishi Wetu Machi 12, 2008 Raia Mwema Azimio la Butiama kuitikisa CCM Wahusika wadaiwa kuanza kutoa rushwa UAMUZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupeleka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii ishu ingetokea bongo..would it make headlines kama USA? Nini ambacho viongozi wetu wajifunze?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mafisadi wafanye ufisadi wao! Halafu siri kali inaogopa kuwashughulikia eti kuna hatari kwamba nchi inaweza kulipuka! :confused: This does make sense at all! Both of you (Mwanyika and Mwema)...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MWANAMKE ni kiumbe wa jinsia ya watu wanaoonekana wazuri wa sura na maumbo, wenye maumbo laini na teketeke na waliojaa uoga mwingi na aibu tele. Sifa hizo za maumbile yake ni za kiasilia za...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Changamkieni tender wkuu mlioko Seattle How far would you go to help wipe out one of the world's worst scourges? Seattle-area residents will soon be able to go all the way: allowing...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ccm nayo haiko nyuma kulaani ufisadi CCM: Mafisadi waanikwe, warudishe fedha *Yataka Rais Kikwete asisakamwe na wanasiasa *Yaonya dhidi ya EPA kutumika kuleta mfarakano Na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sell your story to Pwani News HOW can I contact Pwani News? The fastest way is to call our journalists on 0784 360204 (from outside the TZ dial +255784 36204). You don't need to worry...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya jamii za wavuvi, huyu bwana ni mvuvi na je angekua mitaa ya kwenu, m'ngemtenga ama vipi?Kweli ulimwengu wa musa ni mkubwa!!! Tazama link: http://www.eastafricayote.com/showthread.php?t=943
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom