Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,380
- 39,336
Tunasubiri kuona kama ripoti ya EPA licha ya kutaja walioiba fedha zetu na kuzirudisha kinyemela itatuambia pia kuwa watasimamishwa mahakamani kwa kuhujumu uchumi, kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu, kuiibia serikali ya Jamhuri, kughushi, kukutwa na nyara za serikali, kutoa taarifa za uongo, na kuingilia upatikanaji wa haki (obstruction of justice - sidhani kosa hili lipo TZ.. wanasheria mtanisahihisha).
Kwa vile tuko katika kusubiri naona tujaribu kupiga kura unafikiri vipi kuhusu uwezekano wa wezi wa EPA kusimamama mahakamani baada ya kurudisha kiasi kikubwa cha fedha?
Kwa vile tuko katika kusubiri naona tujaribu kupiga kura unafikiri vipi kuhusu uwezekano wa wezi wa EPA kusimamama mahakamani baada ya kurudisha kiasi kikubwa cha fedha?