What do u mean by 'Hiki si kijiwe kama JF'? Inamaana JF ndio watu hawakoserious? Kwa taarifa yako, wako serious na ndio 1 ya sababu watu wanatumia alias zao na si jina halisi. Mfano mimi ni injinia... Pengine jina halisi ni Reverend P Kivuitu... tuna avoid persecution, tunapashana habari nyeti bila kudisclose jina, source, ofisi etc
TUOMBE MSAMAHA.