Naomba msaada jinsi ya kusajiri simu aina ya G1 Google (iliyotolewa na Tmobile) nchini Tanzania. Wafanyakazi wa mitandao yote Bongo wamechemsha mpaka sasa na kuifanya simu iwe useless...
CEO Roundtable of Tanzania Supports Police Fight Against Cyber-Crime
The Chairman of the CEO Roundtable of Tanzania Mr. Ali A. Mufuruki speaks during the...
Nadhani kuna shida kubwa sana na waandishi wetu wa habari, sidhani kama wahariri huwa wanafanya kazi yao...nimeona hii habari the guardian nimechoka kabisa
All public hospitals to get new...
Silence in issue we ought to speak strongly against, may mean agreement, participation or both. Tanzanians at different levels of social strata has tendency to remain silence in issue that we...
`Kuna wauguzi wananyanyapaa waathirika wa Virusi vya ukimwi`
Mwandishi Wetu
Baadhi ya vituo vya afya nchini, vimelalamikiwa kwa unyanyapaa na ubaguzi kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi...
Saturday May 30, 2009
587bn/- lost in tax waivers
PIUS RUGONZIBWA, 30th May 2009 @ 00:28
The government has given away over 587bn/- in tax exemptions in the past 10 months alone...
Jeetu Patel akiri kumiliki kampuni iliyochota fedha za EPANa Nora Damian
WAFANYABIASHA Jayant Kumar maarufu kama Jeetu Patel na Devendra Patel ,wamekiri mahakamani kuwa Kampuni ya Bencon...
nimeikuta hii kwenye mjadala mmoja huko kwenye net nikaona niiweke hapa mbele yenu
huyu mtu anasema ni mkenya na alikuwa anachangia mada ya ukosefu wa umakini kwa wanasheria[hasa ofisi ya...
REKEBISHO.
KIONGOZI MNYONYAJI MKUU AU MNYONYWAJI MKUU WA HAKI NI YUPI KATI YA HAWA KWA MLOLONGO
(1)katibu kata
(2)raisi
(3)waziri mkuu
(4)diwani
(5)makamu wa raisi
(6)mwananchi...
Wapendwa wana JF, Nina shida nahitaji kupata msaada wa Jinsi ya Kulitatua.
Kuna Mtu Nilimkopesha pesa mwaka 2004 December na akaahidi kunilipa January 2005. Lakini Mpaka leo hajamaliza kunilipa...
wadau,nilikua mpenzi mkubwa wa kipindi cha jenerali on monday,lakini juzi nimeshtuka kuona kimebadilishwa jina si jenerali on monday tena ila ni Channel ten on Monday.jamaa aliekua anakiendesha...
KATIKA hali ya kushangaza imetokea juzi katika maeneo ya Boko baada ya babu mmoja kutuhumiwa kuwa amebaka mama mjamzito kuachiwa huru na polisi na mama huyo kubaki kushikiliwa na polisi.
Tukio...
Hivi ni sahihi kusema marehemu mwalimu nyerere au hayati mwalimu nyerere.
Katika hotuba yake ya mbio za mwenge mwanza leo, dr shein anamtaja baba wa taifa kama marehemu mwalimu nyerere, mimi...
Ni kwanini huwa hatuwakemei au zomea mawakili wa mafisadi?Huwa tunawaona Kisutu, jinsi gani wakiwatetea watuhumiwa, kwa mbwembwe nyingi huku wameshika mafaili na maji ya dasani, kwanini hasa vita...
REKEBISHO LA SILABI (KATI YA HAWA NI YUPI KIONGOZI BORA, HALISI NA MJENGA NCHI)
(1)katibu kata
(2)raisi
(3)waziri mkuu
(4)diwani
(5)makamu wa raisi
(6)mwananchi
(7)mbunge
(8)balozi...
Mgonjwa mmoja mahututi alikuwa
hawezi kuongea na kuwekewa oxgen.
Akawa anaombewa na Mchungaji.
Akiwa anaombewa, yule mgonjwa
akachukua kalamu na karatasi,
Akaandika na akampa yule...
Polisi wakamata magari 96 ya wizi
Na Romana Mallya
28th May 2009
Mengi ni aina ya Toyota Land Cruiser na Rav4
44 yameibwa Japan, chassis namba zimefutwa
Magari.
JeshiI la Polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.