Ndugu zangu,
Hii ni jinsi nionavyo mimi kuhusu watanzania na maisha yao ya kila siku. Nimewatazama watanzania wenzangu kama watu wanaoishi kwa matukio yaani leo wamesikia hili kabla...
Sisemi mimi kama Chereko bali nachereka na maneno ya Waziri Kapuya kama nilivyosoma kwenye habari Leo jumamosi iliyopita -eti Watanzania sio waaminifu na hawajui kiingereza ndio maana kwenye...
Wakuu,
naleta kwenu mada hii kwa nia njema kabisa kuhusiana na wenzetu walioko nje ya Tanzania ambao ni member hapa JF.
Nimekuwa nikisoma post zao na michango kadhaa kuhusiana na...
Wakati inajulikana kabisa kuwa ushuru wa forodha unasimamiwa na mamlaka ya mapato tanzania(TRA) ambayo iko chini ya serikali jamhurii ya muungano Tanzania,kuna habari mamlaka hiyo inatoza ushuru...
Wana JF, ninavyofaahamu mimi mitishamba ni dawa nzuri sana kama ukizijua na kujulia kizitumia. Mababu zetu ziliwasaidia sana kabla ya kuja za kizungu na feki za kichina ambazo zingine ndio...
Chama Cha Mafisadi kazi kwao kama watasuka au watanyoa ,ubabe wenu unamulikwa kila kona ya dunia , East Tanzania huenda likawa ndio jina jipya na kuna tegemeo kuwa hata visiwa vya Mafya navyo...
Kama unataka kwenda kuomba student visa ubalozi wa marekani hapa Dar es salaam ni vitu gani unavyotakiwa kuwa navyo, ninayo I-20 na vyeti vyangu vya high school na diploma, je ni vitu gani zaidi...
Nitajuaje tayari!
Nitajuaje moto umewaka?Swali:
Nitajuaje mke wangu amesisimka vya kutosha na kwamba uke wake upo tayari kupokea uume wangu?
Jibu:
Ukweli ni kwamba mwanamke huwa tayari pale...
Waraka maalum kwa Wakristo Zanzibar
Wapendwa katika Bwana,
NDUGU Wakristo umefika wakati tumeonelea kuwa ipo haja ya kuwaelezeni
machache ili kuona maendeleo yetu na mafanikio tuliokwisha...
2 Bulgarians Busted in Tanzania for ATM Fraud
2009-07-21 19:21:03
Two Bulgarian nationals were detained in the biggest city of Tanzania, Dar es Salaam, for ATM fraud, the internet site...
Former boxer Chris Eubank spends £30,000 on new teeth to get rid of trademark lisp
Last updated at 2:21 PM on 21st July 2009
Chris Eubank hopes dental work surgery will 'improve the aesthetic...
Wana JF, Salaam!
Katika pitapita yangu weekend iliyopita nilikuta mjadala mahali kuhusu matumizi ya simu za kiganjani - mobile phones. Mjadala hasa ulikuwa kuhusiana na utunzaji wa kumbukumbu za...
Hello everyone,
Have been hearing about this Forum a lot. Finally have found my way here.
Although I find some discussions very interesting, there is a lot of character assassination that I...
Ni ukweli usiopingika kuwa wanaomaliza kidato cha sita sasa wanapendelea kusoma Mzumbe, na sababu mimi binafsi sifahamu, je kuna mdau yeyote mwenye information juu ya hilo, maana applicants...
Ngugu mwanajf, baada ya kjadili mada iliyokuwa inazungumzia kile usichotaka(SITAKI), hebu sasa tujadili kile ambacho unataka kama ambavyo mimi:
1.Nataka Serikali inayojali watu na rasilimali...
Sifahamu kama baadhi yetu mmekwisha onja adha ya utaratibu mpya wa TRA ambapo tofauti na zamani sasa once ukilipa kodi unalipia na registration fee kabisa. Well hawa jamaa huenda walikuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.