Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,617
Wewe si ndi ulisema ni mpenda Chinese food na "All-you-can-eat" restaurants. Ushasahau nini?
mie ndio maana nikienda chinese restaurant nakula "chicken wings tu" lol .
Ya bongo pale Kitega uchumi haina matatizo lakini za majuu hmmmm! Bora hata wewe unaingia mimi harufu ndani ya hotel za Wachina hata chakula kinanishinda. Nimejaribu sana lakini wapi. Kuna mahali walikuwa wanakaanga kuku wana taste vizuri sana basi ikawa kila Ijumaa. Kuna siku nikakuta jikoni kuko wazi jinsi kulivyo kuchafu siju hata kama huwa wanasafisha sikurudi tena
Bora Indian restaurants vyakula vyao vinafanafana kidogo na vyetu.
NN hapo Doraville na Buford Hwy kuna all sort of business lol...kuna zile massage places ziko open 24/7 lol... Ila hii ni very nasty lol ndio maana ukitaka Chinese food bora uende P.F. Chang's.
Hata P.F. Chang's mimi nita stick na shrimp tu. Mazagazaga mengine kama scallops, calamari, n.k. wala sitagusa
Ha ha haa itabidi uteme kula na gyros pia maana wao nao ni wachafu....
Ya bongo pale Kitega uchumi haina matatizo lakini za majuu hmmmm! Bora hata wewe unaingia mimi harufu ndani ya hotel za Wachina hata chakula kinanishinda. Nimejaribu sana lakini wapi. Kuna mahali walikuwa wanakaanga kuku wana taste vizuri sana basi ikawa kila Ijumaa. Kuna siku nikakuta jikoni kuko wazi jinsi kulivyo kuchafu siju hata kama huwa wanasafisha sikurudi tena
Bora Indian restaurants vyakula vyao vinafanafana kidogo na vyetu.