ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,013
- 7,206
Naomba msaada jinsi ya kusajiri simu aina ya G1 Google (iliyotolewa na Tmobile) nchini Tanzania. Wafanyakazi wa mitandao yote Bongo wamechemsha mpaka sasa na kuifanya simu iwe useless.
Natanguliza shukurani.
Natanguliza shukurani.