Ni kwanini huwa hatuwakemei au zomea mawakili wa mafisadi?Huwa tunawaona Kisutu, jinsi gani wakiwatetea watuhumiwa, kwa mbwembwe nyingi huku wameshika mafaili na maji ya dasani, kwanini hasa vita yenu haiwalegi wao?Hivi hawa wanaoitwa mafisadi wangekosa mawakili wa kuwatetea mahakamani, mambo ya ufisadi na rushwa yangekuwepo? Kwanini hatuelekeze nguvu zetu kwa mawakili wenye payroll za mafisadi na badala yake tunaelekeza kwa mafisadi? Mbona mwandishi wa habari akilipwa kumtetea fisadi tunamkoma nyani?