By JEFF KAROUB, Associated Press Writer Jeff Karoub, Associated Press Writer 1 hr 5 mins ago
DETROIT Many Jews consider Christmas Day an opportunity to serve their community while Christian...
Wana JF na Watanzania wote nawapeni pole sana kwa kilio hiki tena. Na wenye taarifa kamili kuhusu ajali hiyo iliyowaua watu zaidi ya 20 papo hapo huko Tanga watupashe kwa undani.
Tuesday, 2 February 2010
E-mail this to a friend Printable version
President for a day: 'Punish corruption worshippers'
President for a day: 'Punish corruption worshippers'
Imagine...
DAKTARI wa Hospitali ya Marie Stoppers iliyopo Mwenge, jijini Dar es Salaam, Paul Andrew ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mgonjwa aliyefika hospitalini hapo kupatiwa matibabu.
Taarifa...
Understanding that Most Tanzanians are in love with Toyota,i have to apologize for bringing this to your attention.
my take:watanzania tuwe na utamaduni wa kusoma/review bidhaa tunazonunua,sio kwa...
Human parts processing factory (like sardines)
A factory in Russia harvesting kidneys, eye corneas and other human body parts for sale.
Bodies are collected from drunk drivers who died in...
Wana JF,
Kutokana na mkanganyiko wa habari nzima kuhusu tuhuma kwa J.Muro. Imewahamsha watanzania hisia tofauti na kulitizama Jeshi la Police tofauti katika utendaji na uwajibiukaji wa kazi zake...
Utandawazi una mema na mabaya yake.
Kwa hili nitakalozungumzia hapa ni kwa upande wa ubaya wake hasa upande wa maadili.
Teknolojia ya kupiga picha (mnato au video) na kuzituma ni nzuri lakini...
YANAYO KUFANYA UWE MSWAHILI...
1.Unamwita mtu usiyemjua (wala kukutana nae kabla) 'aunt au anco'.
2.Stoo yako imejaa vitu (makorokoro) kwa kuwa hutupi kwa kuamini kuwa ipo siku utayahitaji...
Wanasheria, Mawakala wa usalama, Askari, Viongozi, wanasiasa, wafanyabiashara, waandishi wa habari, Mahakimu, .....
Unapoamua kuwa mkweli, ukaamua kusimamia haki na kuamua kupigania wanyonge...
Illegal entry of three Tanzanian nationals in to the Paradip Port has raised many a questions on the security measures being taken along the Orissa coastline.The three Tanzanians were detected in...
Vilio, simanzi vyatawala kumuaga Jackline
na David Frank, Arusha
VILIO, simanzi na kwikwi jana vilitawala karibu nusu saa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Rufaa ya...
A young boy went to his father and told him about his life and how things were so hard for him. He did not know how he was going to make it and wanted to give up. He was tired of fighting and...
Naomba kumuuliza Mh. Waziri Mkuu aibu hii ya shule zetu za msingi kukosa madawati na watoto wetu kusoma wakiwa wamekaa chini itakwisha lini?
Katika gazeti la Tanzania Daima la leo tarehe...
Mimi ninaishi pembezoni mwa JIJI la DSM. Kuna KERO inayosnisumbua na hata siju nianzie wapi ama nimalizie wapi.
Hivi kuna sheria yoyote itakayoweza kutulinda wakazi against Makelele ya MIZIKI...
LEVINA KATO,
14th January 2010
COMMUNICATIONS stakeholders today engaged in a heated debate that lasted for seven hours, over a number of clauses contained in the Electronic and Postal...
Kuna familia tupo nayo karibu inaangamia kwa ukimwi. Alianza baba na mama, akafuatia kaka, dada na leo dada mwingine - wamebaki 2 tu sasa kwenye familia ya watu 7! Kuna watu wanasema ukimwi...
Eee Hata bado huu ni mwanzo tu makubwa zaidi yanafatia !!!
Tanzanian women dying for white skin
THE zeal to look beautiful and a colonial mentality that white skin is superior is...
Kuna watu hapa JF kila mara wanaleta dharau kuhusu madrasa za kiislamu napenda kuwajibu yafuatayo:-
1. Madrasa ilianza karne nyingi zilizopita na ndio mwanzo wa elimu yote duniani
2. Madrasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.