uchaguzi wa tff unakaribia ambapo nafasi ya makamu wa pili wa tff inagombewa na ramadhan nassib na john ncimbi.lakini aliyegombea nafasi hiyo uchaguzi uliopita bwana damas ndumbaro amekuwa...
MCHUNGAJI Christopher Mtikila ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama cha Siasa cha DP jana alirudishwa tena rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana.
Mtikila jana alijikuta akirudishwa...
Ndugu wapendwa,
Story ifuatayo ni ya kweli maana imenitokea mimi binafsi tarehe 11/11/2009. Najua kwa kiasi fulani itakuwa inaninizalilisha kwa kutokuwa makini lakini naona ni vyema...
KESI ya mauaji ya mfanyabiashara Abdulbasiti Abdallah (21), yanayodaiwa kufanywa na mfanyabiashara wenye asili ya kiasia Vinoth Praven (23), imeahirishwa hadi Februari 9, mwaka huu.
Mbele ya...
Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar es salaam, Haji Manara (Pichani), ametiwa mbarano jana kwa tuhuma za utapeli wa magari. GPL.COM ilimshuhudia kigogo huyo akiwa kituo cha polisi magomeni akihaha...
Timu za ivory coast na cameroon ambazo zilipitia tanzania na kenya
kwa ajili ya mazoezi hatimae zimeaga mashindano ya can angola
wakati ivory coast walianza wenzao cameroon wameaga jana kwa...
MWANAUME mmoja mkazi wa Manzese, jijini Dar es Salaam alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya mzazi mwenzie kumsusia mtoto wakati akiwa katika sehemu za starehe akijivinjari.
Mwanaume huyo juzi...
PORT-AU-PRINCE,Haiti
WAOKOAJI nchini hapa wamemuokoa mwanamume mmoja kutoka chini ya kifusi ikiwa ni siku 11 tangu tetemeko la ardhi liukumbe mji huu na kusababisha maafa makubwa.
Habari kutoka...
KAMPALA,Uganda
WAFUNGWA 42 waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka jana katika gereza la Luzira nchini Uganda wamefaulu masomo yao ya kujiunga na Sekondari.
Habari zilieleza kutoka Kampala...
KANISA la Tanzania Assembles Of God (TAG) limetaja sifa za rais wanayemtaka katika Uchaguzi Ukuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Akitoa msimamo wa kanisa hilo Mbeya mwishoni mwa wiki...
Msoma mita wa Dawasco afikishwa mahakamani
Kuruthum Ahmed
MSOMA mita wa Kampuni ya kusambaza maji jijini Dar es Salaam(Dawasco), Chobines Mabega (38), jana alifikishwa katika Mahakama ya...
Leo Mkutano wa 18 wa Bunge unaaza mjini Dodoma ambao pamoja na kujadili na kupitisha miswada kadhaa, pia ripoti za utekelezaji wa maazimo mbalimbali ya Bunge itawasilishwa na serikali.
Mkutano...
NAILS IN THE FENCE
Make sure you read all the way down to the last sentence.
(Most importantly the last sentence)
There once was a little boy who had a bad temper. His Father gave him...
TUMECHOKA NASEMA TUMECHOKA NADHANI IFIKE WAKATI MTANZANIA ANAITAJI KUJILINDA MWENYEWE HATA KWA SILAHA YOYOTE
BAADA YA KUSIKIA POLISI WAKIUA WATU UKEREWE,WANAJESHI WAKIUA WATU ARUSHA HAKUNA...
Kama kipaji na utaalamu vingekuwa na jina lingine basi ingekuwa ni DJ MOSY ama Emanuel Moses Onasaa. Ni mzaliwa wa Africa ya mashariki mjini Dar es salaam nchini Tanzania.
Bali ya kuwa na vipaji...
MEDITATION NO. 438
Lord Ashtar and Archangel Michael
To Begin Monday, Jan. 25, 2010
We are Ashtar and Michael, here to give the Eagles the next meditation. Change is coming more and more quickly...
CCM Zanzibar kimewaonya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wa chama hicho watakaounga mkono hoja ya kuundwa Serikali ya mseto, kinyume na azimio la Butiama la mwaka 2008, kwamba watachukuliwa hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.