Jeshi la polisi mkoani Kigoma limemwachia huru kwa msamaha maalumu mkazi mmoja wa kijiji cha Nyamidaho wilayani Kasulu aliyesalimisha kwa serikali ya kijiji, silaha ya kivita aliyokuwa akiitumia...
Majambazi yameendelea kutingisha nchi na katika tukio la kuhuzunisha watu wawili wakiwa na silaha wamemuua kwa kumpiga risasi kichwani mke wa mfanyabishara maarufu wa madini ya tanzanite...
VINARA wa upatu wa Development Enterpreneurship Community Initiative (DECI), wataendelea kusota rumande hadi Februari 8, mwaka huu, kwa kuwa upelelezi bado haujakamilika.
Watuhumiwa hao, Jackson...
SERIKALI imekiri kuwa tatizo la umeme visiwani Zanzibar linatokana na uchakavu wa mitambo ambayo ni ya muda mrefu na inahitaji marekebisho na gharama kubwa.
Katika kipindi cha maswali ya papo kwa...
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda leo mchana (Ijumaa, Januari 8, 2010) anatarajiwa kufanya ziara ya siku moja katika wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro kukagua athari za mafuriko na jitihada ambazo Serikali...
Kila saa 3 usiku TBC wanaonyesha kipindi cha promotion ya zain.
Kinachoniwewesesha ni yule mtangazaji wa kike "Doreen", ivi yale matt ni ya mchina au???
kwanini anayaachia vile tena makusudi kwa...
Ina karibu wiki nzima bila picha mpya. Ukiingia huko kuna maelezo ya hitilafu za kiufundi. Kule Kwanzajamii.com hivyo hivyo, hakuna fundi mitambo! Isije ikawa wamehujumiwa.
Ndugu zangu niko maeneo ya katikati ya jiji la DSM asubuhi hii tulipaki gari yetu Mtaa wa Jamhuri kwa dakika kama 40 hivi , tuliporudi tena tulikuta gari yetu imebadilishwa namba na pembeni yake...
Hotuba ya kumaliza mazishi!!!
Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema "kinachofuata sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya marehemu tuliyemzika...
COLORADO,Marekani
MTOTO wa kiume raia wa hapa mwenye umri wa miaka 14 anadaiwa kuwaua wazazi wake kwa kuwapiga risasi baada ya kuagizwa kufanya kazi ndogondogo za nyumbani.
Kwa mujibu wa...
Naomba niulize wana JF, hivi huu ustarabu wa kuweka watu mijini eti wafunge magari yanayo paki mahali pasiporuhusiwa umetoka nchi gani, je hizo pesa mkaguzi mkuu wa serikali anazifahamu.
Mji wa...
Wana JF ninahoja.
Kwa nini Tanzania tusianzishe chama cha wenye magari, ambacho kitaweza kutetea haki za kila mmiliki wa gari hapa nchini, maana tumechoka na manyanyaso ya kodi zisizo na kichwa...
Clouds wanapiga nyimbo zilezile kila kipindi.
Leo nimesikiliza vipindi vya kuanzia asubuhi hadi muda huu.
Yaani mtu unaweza kuotea nyimbo zitakazo pigwa kwenye kipindi cha kesho.
Hatari...
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja, amekubali kumaliza sakata hilo ambalo liliibuka mwishoni mwa mwaka jana baada ya Tanesco kutaka kupitisha nyaya za umeme juu ya mabango ya kanisa...
Katika ile hali ya kutapatapa kwa Wahindi wa jengo la Myfair Plaza pale Mikocheni hali sasa yaelekea kuwa tete au mbaya. Kwa wale wanapafahamu wanajua ya kuwa wapangaji/tenants wengi wakubwa...
"NINAKUMBUKA na kamwe siwezi kuusahau mwezi Agosti, mwaka 2007, hii ni baada ya mimi kutokewa na tukio la kuzomewa na kikundi cha wananchi katika mkutano wa hadhara ambapo Rais Jakaya Kikwete...
Wakulu, heshima mbele!
Hivi kuna ukweli wowote kwamba wanaopenda kuweka tinted kwenye magari ni wazee wa ku-Do? Mara nyingi utakuta watu wanaweka tinted kwenye vioo ya vyuma kwa ajili ya kuficha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.