minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
wakuu,
mamlaka ya ustawishaji makao makuu dodoma, CDA, lililoanzishwa kwa notisi namba 230 ya serikali ya tanzania ya tarehe 12 desemba, 1973; juma hili linasherehekea wiki lake kwenye viwanja maarufu vya nyerere square mjini dodoma, na kaulimbiu ni:
wiki la cda: tujenge mji kwa pamoja
mengi yameandikwa kwenye tovuti ya cda kuhusu kazi za mamlaka hayo, lakini mpaka leo hii, miaka 37 tangu maamuzi kufanyika kuhusu mji huu wa chifu mazengo(tamka: madzengo) na mkewe masalatu(sio msalato!), kuwa makao makuu ya tanzania bado utekelezaji wake haujakaa sawa.
ukimuuliza mkazi wa kawaida wa dodoma kuhusu cda utapata maneno haya:
my ake:
1. wakuu mnasemaje kuhusu;
naomba kuwasilisha!!!
mamlaka ya ustawishaji makao makuu dodoma, CDA, lililoanzishwa kwa notisi namba 230 ya serikali ya tanzania ya tarehe 12 desemba, 1973; juma hili linasherehekea wiki lake kwenye viwanja maarufu vya nyerere square mjini dodoma, na kaulimbiu ni:
wiki la cda: tujenge mji kwa pamoja
mengi yameandikwa kwenye tovuti ya cda kuhusu kazi za mamlaka hayo, lakini mpaka leo hii, miaka 37 tangu maamuzi kufanyika kuhusu mji huu wa chifu mazengo(tamka: madzengo) na mkewe masalatu(sio msalato!), kuwa makao makuu ya tanzania bado utekelezaji wake haujakaa sawa.
ukimuuliza mkazi wa kawaida wa dodoma kuhusu cda utapata maneno haya:
- bomoa bomoa
- rushwa (kigogo wake amefukuzwa kazi na utumishi miezi kadhaa iliyopita)
- ulaji wa madalali
- una ndugu kupata kiwanja cha kupimiwa na dodoma?
- wafanyakazi wake mamilionea
- kiwanja sipati labda ninunue 'shamba'
- mji mdogo wa 'maisha plus' nkuhungu
- chang'ombe/gwasa
- yaliyotokea mjedengwa kwa bilingi?
- image kwa wakubwa na matajiri
- ongezea
my ake:
1. wakuu mnasemaje kuhusu;
- kasi ya upimaji wa viwanja kwa wakazi wa dodoma?
- kasi ya ukuaji wa mji kutokana na kazi za cda kutakakopelekea mji wa dodoma kufanywa kuwa makao makuu ya tanzania?
naomba kuwasilisha!!!