The point is, kulia kwake kunakuwa na Mkufunzi,ambaye ana gadgets zote muhimu za kucontrol gari pindi kukiwa na abnormality yoyote!..Mi soni kama hiyo kitu ina'pose hatari kuubwa kihivyo!Ndugu zangu naomba kuuliza huu utaratibu unao tumiwa na hizi shule za udereva (Driving Schools) wa dereva aliye mafunzoni kuendesha gari huku akiwa amepakia wenzake na kupita nao katika barabara kuu na zile ndogo, je kiusalama na kisheria upo vipi ?