Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
Leo nimesikia huu msamiati ukitumika, ningependa kujua kama ni msamiati sahihi na kama matumizi yake kwa mukhtadha wa hapa chini ni sahihi.
Wenyewe wanasema mdororo wa uchumi duniani. Mimi nilizoea kusikia kuzorota kwa uchumi duniani.
Udzungwa.
Wenyewe wanasema mdororo wa uchumi duniani. Mimi nilizoea kusikia kuzorota kwa uchumi duniani.
Udzungwa.