TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,872
- 11,248
Wakuu,
Nimekua nikijiuliza kwa muda sasa ni vitabu gani rais wangu anavisoma...
sababu kubwa ya kuuliza haya ni jinsi anavyoapproach matatizo ya wananchi na jinsi anavyoelezea mafanikio ya nchi yake na kazi yake. mara nyingi naona kama, either anaweka vitu ambavyo havina marejeo ili kuweza kutathmini utendaji
Kibaya zaidi, simsikii kabisa akirejea historia kuu yataifa letu,
je, anasoma vitabu vya uchumi? utamaduni? riwaya? UONGOZI? historia au nini
NIJUAVYO MIMI, KIONGOZI BORA NI MTU ANAYEPENDA KUJIENDELEZA.... UNFORTUNATELY, SILIONI HILO
Nimekua nikijiuliza kwa muda sasa ni vitabu gani rais wangu anavisoma...
sababu kubwa ya kuuliza haya ni jinsi anavyoapproach matatizo ya wananchi na jinsi anavyoelezea mafanikio ya nchi yake na kazi yake. mara nyingi naona kama, either anaweka vitu ambavyo havina marejeo ili kuweza kutathmini utendaji
Kibaya zaidi, simsikii kabisa akirejea historia kuu yataifa letu,
je, anasoma vitabu vya uchumi? utamaduni? riwaya? UONGOZI? historia au nini
NIJUAVYO MIMI, KIONGOZI BORA NI MTU ANAYEPENDA KUJIENDELEZA.... UNFORTUNATELY, SILIONI HILO