Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Nimetafakari na kuona m/ke ni muhimu kwa m/me! japo nifikiriapo juu ya uchaguzi nnakwazika sana, kwanza ni wengi wazuri,wastani, wafupi kwa wembamba yaani wote wananivuta, Japo hawana tofauti...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Hilda Gondwe anadaiwa kuomba auziwe kwa Sh6 milioni gari la serikali aina ya Toyota Landcruiser VX lililonunuliwa miaka mitatu iliyopita kwa Sh96 milioni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
US Church set to ordain lesbian bishop By Robert Pigott Religious affairs correspondent, BBC News Mary Glasspool has been with her partner since 1988 The Episcopal Church in the US is...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF wenzangu naomba ushauri kuhusu miji hii MWANZA,DODOMA,ARUSHA Ushauri huu uzingatie maisha kiujumla i.e gharama za maisha,huduma(maji/umeme/barabara) msongamano na upatikanaji wa kazi na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
www.AIRTANZANIA.com Yaani tangu nianzee kupanda hii ndege ya atc kila nikifungua hii web nakutanan na under construction under construction kweli awajui umuhimu wa website miaka nenda rusi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani kwa wale ambao ni wapenzi wa kupita huu mtaa ili kukwepa foleni kuweni waangalifu mana leo hii rafiki yangu kapita ule mtaa akakuta magari yameshona so since ile njia ni no entry kutokea...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nakutaka radhi Baba_Enock, hii post yako inmeipenda na nimeinyofoa kule kwa dada(MTUCTA) aliyehongwa gari na boss wake! Wadau naomba tuijadili separatelymake foleni za magari kweli zimezidi...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Habari za kuaminika ni kuwa shirika la ndege ATC limeshindwa kufanya safari zake kutokea Dar kwenda Kigoma tangu tarehe 10 May 2010. Kwa mujibu wa mtu mmoja wa karibu aliyetakiwa kusafiri na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Katibu mkuu wa CCM Taifa Mh Yusufu Rajab makamba wiki hii atafanya mkutano mkubwa wilayani Igunga ambapo atapokea maandamano makubwa. habari zaidi kutoka Igunga zinasema kuwa baada ya kupokea...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Baada ya kauli ya Mr Tim clarke kuwa hawajaona maendeleo yoyote kwa wakulima kwa kipindi cha miaka 20 iliyopita. Sirikali imeamka usingizini na kuwa mbogo kuanza kumuandama Mr Tim Clarke...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtendaji Mkuu haivi na viongozi wa wizara Anafanya maamuzi makubwa bila baraka zao Waziri wa Wizara ya Miundo Mbinu, Dk. Shukuru...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Duh sijashangaa kusikia mh huyu ameamua kutangaza nia je ni danganya toto???
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Wadau, kuna habari kuwa serikali mpya ya uingereza imeamua kujipunguzia mishahara kwa 5% ili kupunguza bajeti ya madeni. Hivi hapa bongo kama mawaziri na watumishi wa serikali na wabunge...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika hotuba yake ya kwanza bungeni kwenye hitimisho alisema "Najua wahisani wetu na wawekezaji, ndani na nje .... wakitaka kujiridhisha iwapo nitavijaza viatu alivyoniachia Rais wetu mpendwa wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutakuwa na mkutano katikati ya mwezi huu huko Makao makuu ya ITU Nchini Uswizi , Moja ya mada itakayojadiliwa kwenye kikao hicho Ni Masuala ya Mtoto na Mtandao – Usalama Wake , Hii haiwezi kupita...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Every so often, many NGOs are on the look out for invitation for proposals from Donors who are keen on funding programmes that fall in line with their missions in Tanzania, or their lack of it...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu tanzania tumekuwa kama wakiwa,tuna watawala hatuna viongozi. Hawasikii hawaambiliki.nasikia viongozi wa dini wana kikao na serikali sasa nawaomba wakae na rais [najua hawamwogopi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ya asbh wana JF. Binafsi naona thread za Bifu zinatupotezea muda sana. Unajua watu wengine hatuna interest za TID wala Hashim na U super star wao its none of our business, sasa watu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
TUKIO la dereva teksi kufia kwenye Kituo cha Polisi cha Chang'ombe jijini Dar es Salaam limeingia sura mpya baada ya taarifa iliyoko kwenye kibali cha mazishi kilichotolewa na Idara ya Msajili wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Majeneza ya watoto watatu Noel, Rose na Anthony Thadeo Kihanda yakionekana katika ibada ya mazishi nyumbani kwao eneo la Kariwa kata ya Longuo B Manispaa Moshi mkoani Kilimanjaro jana.(Picha na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…