kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 83
Wadau, kuna habari kuwa serikali mpya ya uingereza imeamua kujipunguzia mishahara kwa 5% ili kupunguza bajeti ya madeni. Hivi hapa bongo kama mawaziri na watumishi wa serikali na wabunge wakipunguziwa mshahara na malulpulupu kwa 10% ule mshahara ambao TUCTA wanataka (Shs 315,000, kima cha chini) hauwezi kweli kulipika.