My sweet heart alipewa kadi ya kwenda kwenye kibao kata, kibao kata kinafanyika leo kule ilala. Mimi ndiye niliyeipokea hiyo kadi siku ya jumatatu.
Kwa ufahamu wangu mdogo wa mambo ya kike nikajua...
waziri wa fedha aliutangazi umma akuna haja ya kuendelea na 'ukaguzi wa nyumba ya gavana maana gavana amejibu kila kitu kwenye tume ya wabunge alioitwa kuulizwa
EMBU TUELEZE WAZIRI MKULO NA HUU...
Lori moja kubwa likiwa na kontena ndefu likiwa linaelekea njia ya tanki bovu kushuka barabara ya mboma limekata waya za umeme 4 ,tunaomba wenye uwezo wa kuwasiliana wawajulishe kabla ya maafa...
Wapambe msitujadili mapenzi yetu hayawahusu,ya kwako yamekushinda ya wenzako utayaweza,achen kudiscus mapenzi ya wenzenu,kujitongozesha kwa nguvupenzi ni bonge la issue kwetu cici wapendanao...
Flier ya Traffic light FEKI
Hivi kweli unasubiri mtanzania mwenzio aanzishe kitu then wewe unataka tu kutengeneza pesa kwa kutumia idea zao?
Huyo ni uizi wa kiaina na vile vile unaweza kuwa...
Kama Desturi Yake Nigeria Man Ni Lazima Afanye Unaigeria Wake.
The innocent Kenyan girl was left to pay for the scandal
"She was a good care worker, always punctual and honest in her duty"...
Jamani tumwombe sana mungu atusamehe.......kama kweli sisi wote tumeumbwa kwa mfano wake, na kwamba wote tu watu wake!! Basi..... Ni wachache watakaouona ufalme wa mbinguni........!! Je wewe uko...
Hercules: The World's Biggest Dog Ever According to Guinness World Records
Hercules was recently awarded the honorable distinction of Worlds Biggest Dog by Guinness World Records. Hercules is an...
Najua watu wengi watanishangaa kwa kuuliza swali hili:
ASKOFU MKUU NOVATUS RUGAMBWA NI RAIA WA NCHI GANI?
Ninajua kabisa kuwa kwa kuzaliwa ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa lakini ninaamini...
Habari za saa hizi wakulu,,hapa kuna jambo ambalo nimeona bora niliweke ili liweze julikana na kupatiwa ufumbuzi kama kuna uwezekano,Diwani wa kata ya Hananasif Mh.Abbas Tarimba(former president...
Naja kwenu wadau wa jamvi hili la JF.
Kutokanana hali ilivyo nchini kwetu(TZ).Majanga mbali mbali yanatukumba ilihali wakuu wa nchi hawayachukulii hatua madhubuti za kuyatatua kama siyo...
Piki piki inauzwa, Aina ni yamaha, TTR, inatembea, Document zote zipo, bei 1,700,000/=, maongezi yapo,
mawasiliano 0718 338293, ndugu Iddy,
ipo hapa hapa Dar,
Holy Week.
Baada ya jana kuelezea matukio ya Jumatatu,sasa tuendelee na matukio ya Jumanne.
Saa moja asubuhi Yesu aliongea na Mitume wake, pia aliongea na Lazarus kumwambia atoroke kwenda...
ASILI YA APRIL FOOL
Asili ya April Fool haikujulikana kwa uhakika na kuna rai mbali mbali zinazohusiana nayo.
Wengine wamesema imeanza kutokana na sherehe za majira ya kuchipua...
Nimekutana na dada mmoja akanifurahisha sana
tulikuw a tunaongea kuhusu madada zetu walivyogeuka
ATM gafla na wengine kuwa Vibomu vya Miizinga
hakika akuacha kuwa muwazi na kusema sasa kama wengi...
Jamani sisi tunaotumia mtandao wa Africaonline kwa ajili ya matumizi ya internet tumeonja joto ya jiwe toka jumamosi mpaka leo hii ninapoandika hii bado hatuna internet. Network hakuna toka...
mtoto magath alikatwa mikono na mtu asiejulikana kwa madai kuwa viganja vyake vina michoro ya utajiri,
Tanzania ni nchi inayojulikana kama moja ya nchi zenye amani na utulivu ulimwenguni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.