Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

My sweet heart alipewa kadi ya kwenda kwenye kibao kata, kibao kata kinafanyika leo kule ilala. Mimi ndiye niliyeipokea hiyo kadi siku ya jumatatu. Kwa ufahamu wangu mdogo wa mambo ya kike nikajua...
0 Reactions
18 Replies
13K Views
waziri wa fedha aliutangazi umma akuna haja ya kuendelea na 'ukaguzi wa nyumba ya gavana maana gavana amejibu kila kitu kwenye tume ya wabunge alioitwa kuulizwa EMBU TUELEZE WAZIRI MKULO NA HUU...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Lori moja kubwa likiwa na kontena ndefu likiwa linaelekea njia ya tanki bovu kushuka barabara ya mboma limekata waya za umeme 4 ,tunaomba wenye uwezo wa kuwasiliana wawajulishe kabla ya maafa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapambe msitujadili mapenzi yetu hayawahusu,ya kwako yamekushinda ya wenzako utayaweza,achen kudiscus mapenzi ya wenzenu,kujitongozesha kwa nguvupenzi ni bonge la issue kwetu cici wapendanao...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
wajukuu zangu babu yenu naenda LAMU kupumzika pasaka hii...mwenye kutaka zawadi ani PM nimleteee
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Flier ya Traffic light FEKI Hivi kweli unasubiri mtanzania mwenzio aanzishe kitu then wewe unataka tu kutengeneza pesa kwa kutumia idea zao? Huyo ni uizi wa kiaina na vile vile unaweza kuwa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kama Desturi Yake Nigeria Man Ni Lazima Afanye Unaigeria Wake. The innocent Kenyan girl was left to pay for the scandal "She was a good care worker, always punctual and honest in her duty"...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jamani tumwombe sana mungu atusamehe.......kama kweli sisi wote tumeumbwa kwa mfano wake, na kwamba wote tu watu wake!! Basi..... Ni wachache watakaouona ufalme wa mbinguni........!! Je wewe uko...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hercules: The World's Biggest Dog Ever According to Guinness World Records Hercules was recently awarded the honorable distinction of Worlds Biggest Dog by Guinness World Records. Hercules is an...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Najua watu wengi watanishangaa kwa kuuliza swali hili: ASKOFU MKUU NOVATUS RUGAMBWA NI RAIA WA NCHI GANI? Ninajua kabisa kuwa kwa kuzaliwa ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa lakini ninaamini...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za saa hizi wakulu,,hapa kuna jambo ambalo nimeona bora niliweke ili liweze julikana na kupatiwa ufumbuzi kama kuna uwezekano,Diwani wa kata ya Hananasif Mh.Abbas Tarimba(former president...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Naja kwenu wadau wa jamvi hili la JF. Kutokanana hali ilivyo nchini kwetu(TZ).Majanga mbali mbali yanatukumba ilihali wakuu wa nchi hawayachukulii hatua madhubuti za kuyatatua kama siyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Piki piki inauzwa, Aina ni yamaha, TTR, inatembea, Document zote zipo, bei 1,700,000/=, maongezi yapo, mawasiliano 0718 338293, ndugu Iddy, ipo hapa hapa Dar,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanawake wanaofuata mali China ijumaa wikienda...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Holy Week. Baada ya jana kuelezea matukio ya Jumatatu,sasa tuendelee na matukio ya Jumanne. Saa moja asubuhi Yesu aliongea na Mitume wake, pia aliongea na Lazarus kumwambia atoroke kwenda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama ni mechi tumepigwa kanzu!,What I know is that; U can not eat cake n still have whole of it, kama pesa za EPA wamekula, zinatoka wapi?.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ASILI YA APRIL FOOL Asili ya April Fool haikujulikana kwa uhakika na kuna rai mbali mbali zinazohusiana nayo. Wengine wamesema imeanza kutokana na sherehe za majira ya kuchipua...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimekutana na dada mmoja akanifurahisha sana tulikuw a tunaongea kuhusu madada zetu walivyogeuka ATM gafla na wengine kuwa Vibomu vya Miizinga hakika akuacha kuwa muwazi na kusema sasa kama wengi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani sisi tunaotumia mtandao wa Africaonline kwa ajili ya matumizi ya internet tumeonja joto ya jiwe toka jumamosi mpaka leo hii ninapoandika hii bado hatuna internet. Network hakuna toka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mtoto magath alikatwa mikono na mtu asiejulikana kwa madai kuwa viganja vyake vina michoro ya utajiri, Tanzania ni nchi inayojulikana kama moja ya nchi zenye amani na utulivu ulimwenguni...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom