Magari ya Kuongwa na foleni Dar!

Magari ya Kuongwa na foleni Dar!

Katikomile

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2007
Posts
471
Reaction score
74
Nakutaka radhi Baba_Enock, hii post yako inmeipenda na nimeinyofoa kule kwa dada(MTUCTA) aliyehongwa gari na boss wake!


Wadau naomba tuijadili separatelymake foleni za magari kweli zimezidi mjini, ni kweli kwmba 40% ni magari ya kuhongwa????????????



Continue............................



Hayo mambo ya kawaida hapa Dar! Mkeo ananunuliwa gari anakwambia nimekopa SACCOS na nimedunduliza hela ya safari kumbe ni chakula ya Ma-director! Na kwakweli wanawala wake za watu kwa kwenda mbele - kubali au kataa - ni shauri yako! Nawafahamu wengi sana na mara nyingi sana ninakutana nao (Ma-Director na wake za watu). Zunguuka baa za uswahilini na uone kinachoendelea. Unadhani haya magari yaliyojaa mjini yanatoka wapi ? - Ujasiliamali kweli - all of a sudden mji umefurika magari - 40% ni ya kuhongwa


Kwa Tanzania UKIMWI utaisha kwa NEEMA za MUNGU tu - Ni mfumo wa maisha na unatumaliza indeed!

Amani iwe kwenu
 
Hata wanaume nao pia wanahongwa! Tena na wanawake wakubwa kwao, na wake za watu@! Avatar yako kaka!
 
Kila mla huliwa, hata wake wa ma-director nao wanaliwa na mwishoe wanahonga magari vi-serengeti boys!!!
 
JK alisema "ukitaka kula shurti uliwe" habari ndio hiyo
 
Nakutaka radhi Baba_Enock, hii post yako inmeipenda na nimeinyofoa kule kwa dada(MTUCTA) aliyeongwa gari na boss wake!


Wadau naomba tuijadili separatelymake foleni za magari kweli zimezidi mjini, ni kweli kwmba 40% ni magari ya kuongwa????????????



Continue............................



Hayo mambo ya kawaida hapa Dar! Mkeo ananunuliwa gari anakwambia nimekopa SACCOS na nimedunduliza hela ya safari kumbe ni chakula ya Ma-director! Na kwakweli wanawala wake za watu kwa kwenda mbele - kubali au kataa - ni shauri yako! Nawafahamu wengi sana na mara nyingi sana ninakutana nao (Ma-Director na wake za watu). Zunguuka baa za uswahilini na uone kinachoendelea. Unadhani haya magari yaliyojaa mjini yanatoka wapi ? - Ujasiliamali kweli - all of a sudden mji umefurika magari - 40% ni ya kuhongwa


Kwa Tanzania UKIMWI utaisha kwa NEEMA za MUNGU tu - Ni mfumo wa maisha na unatumaliza indeed!

Amani iwe kwenu

Ni kweli.. Ila rekebisha pls NI KUHONGA (red)
 
hahaaaaa kumbe ndo maana foleni kubwa dar..basi watakuwa watamu sana mpaka wanahongwa magari
 
Sasa kwa taarifa yetu,most of the mens nowadayz wanaendesha magari ya kuhongwa,na kumbukeni kuwa kuna mabinti komandoz ambao wanakula walicho pika!!
 
Familia nyingine zina magari sita. Baba na mama wana magari yao kila mtu la kwake watoto wanne au hata zaidi kila mtoto ana la kwake na yote mara nyingi yanaweza kuwepo barabara wakati mmoja badala ya kutumia gari moja kama familia.
 
Ok, magari used,NUKTA, ambayo huko yalikotoka salvage value is less than the cost to disposing them. Ngozi nyeusi is in the state of remarkable self-choking self-destructive stupidity he he he..
 
Yeah ...

Watanzania walio wengi (M/F) wanapima mafanikio kwa mambo matatu: Gari (Used), Nyumba (Mbagala), Duka (Kariakoo)! Mtanzania akishakuwa na hayo mambo matatu anajihesabu kuwa amefanikiwa kimaisha! Hili la Gari limekuwa kama uendawazimu! na ndio maana tume-shift our thinking kutoka kwenye "core values" za maisha na kutapatapa: be it politically, socially and economically

- Ukitizama hali ya miundo mbinu (regardless unaishi sehemu gani ya Dar es Salaam), huwezi kufikiria kununua magari matatu kwa ajili ya (wewe, mkeo, na concubine). Personally, I would rather niwe na gari moja halafu nafanya kazi ya kuwaendesha hawa "wapenzi". Hainingii akilini kuona mume, mke, watoto, concubines, housegirl, serengeti boys, e.t.c wote wanaondoka na kila mtu gari lake asubuhi wanapotoka nyumbani!

Anyways Mwalimu Nyerere alikwisha sema "Upumbavu ni Kipaji"
 
Tunahitaji kufikiria upya suala la uagizaji magari yaliyokwishatumika (used cars especially from Japan). Aidha kuongeza kodi kubwa kwa magari hayo, au kuzuia kabisa kuaigiza magari ambayo yametengenezwa chini ya miaka mitatu iliyopita yaani 2007......
Hii itasaidia, maana itafanya gharama za kununua magari kupanda, na watu wengi watatnunua tu pale inapobidi na si vinginevyo....... HUO NI USHAURI WANGU KWA KWELI;.... MAANA UKIANGALIA KWA SASA MTU AKIWA NA MILIONI TANO TU (5,000,000/=), ANAWEZA KUNUNUA GARI........
 
Kuhonga wana honga kweli, mimi mke wangu ana gari boss wake kuona hivyo ikabidi amuungie kwa gear nyingine kwanza alimwambia wewe ni mzuri nikupa gari tayari unalo mimi naona bora ni kujengee nyumba ya kwako,yeye alimjibu sawa ila ninaenda kumweleza mme wangu pia nita mweleza na mama ambae ni mkewe, jamaa alikasirika na kuanza vituko kwake, ili bidi nitoe mtaji aache kazi afanye biashara kuondoa usumbufu aliokuwa anaupata ktk kwa boss,hivyo jamaa wanahonga sana hawajali ni mke wa mtu wala nini,
 
Mh wabongo Ngono zitatumaliza! watu kama wamelaaniwa. wanaiba pesa za shirika/serikalini wanahonga wanawake magari, utakuta demu kapangishiwa house nzima ya kilo 3 kwa mwezi na kanunuliwa gari. demu kazi kuzurura tu na gari hakuna production yoyote anayofanya zaidi ya kumridhisha mchizi. Sasa na yeye upande mwingine anakuwa na ka boifrend kake anako kahonga na mzunguko unazidi hahahahahaha
 
Mh wabongo Ngono zitatumaliza! watu kama wamelaaniwa. wanaiba pesa za shirika/serikalini wanahonga wanawake magari, utakuta demu kapangishiwa house nzima ya kilo 3 kwa mwezi na kanunuliwa gari. demu kazi kuzurura tu na gari hakuna production yoyote anayofanya zaidi ya kumridhisha mchizi. Sasa na yeye upande mwingine anakuwa na ka boifrend kake anako kahonga na mzunguko unazidi hahahahahaha

Tanzania bila UKIMWI....
 
Back
Top Bottom