Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau, Star times wamekuwa wakijisheresha kwenye redio kuwa wanaonyesha mechi za Serial A live. Nimejaribu kufuatilia hiyo channel ya Kungfu lakini sijawahi kuona hizo mechi na hata bandiko kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
huyo sio dem, mi mwenyewe namjua. hajui kukataa, wanasema kaumia.. hana mapenzi yakweli yeye anajali tu shilling, kudadadeki mapenzi hayashauriki.. kama unampenda we mpende tu maradufu, ila huku...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haya hayaaa ....! kwa wale wazee wa ile mambo yetu ndani ya the A'town centre of Africa, mnakaribishwa sana katika 'ufunguzi' rasmi wa 'RomboDeluxe', a new local joint in the heart of the town...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
http://youtu.be/A-f37hcO1dU
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Video za RIHANNA kwa mwaka huu pekee zinatia fora!!!!!!!! Nikianza na wimbo wake wa S&M ulikuwa ni "MOTO" sana kiasi cha kushindwa kupigwa ama kuoneshwa katika baadhi ya Television kwa sababu...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nimependa ubunifu wa wasanii wa Uganda.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nataka kudownload free short clip comedy ni web gani inafaa? please.
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Msanii wa kike lulu leo alikuwa ndan ya kipind cha take one-clouds,. Anasema anachukizwa sana na media eti zinamuandama kwa kumuandika uongo pia ameulizwa kama yupo kweny mahusiano,.jibu lake...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
"Just A Moment" (feat. Quan) [Verse 1: Quan] Can we please have a moment of silence? That's for my niggaz doin' years in confinement And for my soldiers who passed over, no longer living That...
0 Reactions
2 Replies
984 Views
Vipi wadau ? Kuna mtu anaweza nipatia namba ya simu ya Isha Mashauzi ? Nataka aje atupe burudani pande zetu za Manzese Mabibo. Unaweza pia ukanitupia namba yake hapa 0787 531152. Natanguliza...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
{YOUTUBE}4j0nQGP2M04{/YOUTUBE}
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hawa jamaa waklo wapi? I miss them! 1.GENERAL DEFAO MATUMONA... 2. Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba mnikumbushe ni nani yule aliyepiga wimbo wenye kionjo hiki "maridadi sana...tai shingoni sigara mkononi,lakini hawana fedha mfukoni... Atakayenikumbusha pia aliyepiga wimbo wenye...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Leo nilikuwa naangalia Television station ya Trace nikaona Video ya wimbo wake wa 'speak with your body ' hakika nimefurahi kuona jitihada zake. Ni kijana mwenzetu ambaye kwa muda mrefu amekuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ebu tujiulize kwa nini naijeria wamefanikiwa katika upande wa sanaa,mpira muziki na mengine? hebu nenda katika hii link...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimekutana na huu wimbo umenikumbusha mbali sana, wote wenye mapenzi na mama zao sikilizeni huu wimbo. sauti nzuri za Kyanga Songa na Kasaloo Kyanga wa Tancut Almasi wimbo Mama, pata...
0 Reactions
53 Replies
21K Views
Watu uwa wanasema bahati haiji mara mbili,ila jamaa alijikuta akiishiwa lakini sasa amezipata tena. Hii inanikumbusha hata hayo kama sikosei yalimkuta Will Smith. Nenda kwenye hii link POPOTE TZ...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania, mwanadada Jaydee alienda wapi. Natafuta kanda yake ya hivi majuzi kama ipo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimepewa taarifa kwamba wasanii wengi wa kibongo ni mbumbumbu ndo mana wanaibiwa sana kazi zao na kuishia kulipwa hadi elfu kumi kwa kazi anayofanya hii ni kweli nije kuwekeza bongo!?
0 Reactions
21 Replies
4K Views
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…