Wadau, Star times wamekuwa wakijisheresha kwenye redio kuwa wanaonyesha mechi za Serial A live. Nimejaribu kufuatilia hiyo channel ya Kungfu lakini sijawahi kuona hizo mechi na hata bandiko kuwa...
huyo sio dem, mi mwenyewe namjua.
hajui kukataa, wanasema kaumia..
hana mapenzi yakweli yeye anajali tu shilling, kudadadeki mapenzi hayashauriki..
kama unampenda we mpende tu maradufu, ila huku...
Haya hayaaa ....! kwa wale wazee wa ile mambo yetu ndani ya the A'town centre of Africa, mnakaribishwa sana katika 'ufunguzi' rasmi wa 'RomboDeluxe', a new local joint in the heart of the town...
Video za RIHANNA kwa mwaka huu pekee zinatia fora!!!!!!!! Nikianza na wimbo wake wa S&M ulikuwa ni "MOTO" sana kiasi cha kushindwa kupigwa ama kuoneshwa katika baadhi ya Television kwa sababu...
Msanii wa kike lulu leo alikuwa ndan ya kipind cha take one-clouds,. Anasema anachukizwa sana na media eti zinamuandama kwa kumuandika uongo pia ameulizwa kama yupo kweny mahusiano,.jibu lake...
"Just A Moment"
(feat. Quan)
[Verse 1: Quan]
Can we please have a moment of silence?
That's for my niggaz doin' years in confinement
And for my soldiers who passed over, no longer living
That...
Vipi wadau ?
Kuna mtu anaweza nipatia namba ya simu ya Isha Mashauzi ? Nataka aje atupe burudani pande zetu za Manzese Mabibo.
Unaweza pia ukanitupia namba yake hapa 0787 531152. Natanguliza...
Wadau naomba mnikumbushe ni nani yule aliyepiga wimbo wenye kionjo hiki "maridadi sana...tai shingoni sigara mkononi,lakini hawana fedha mfukoni...
Atakayenikumbusha pia aliyepiga wimbo wenye...
Leo nilikuwa naangalia Television station ya Trace nikaona Video ya wimbo wake wa 'speak with your body ' hakika nimefurahi kuona jitihada zake. Ni kijana mwenzetu ambaye kwa muda mrefu amekuwa...
Nimekutana na huu wimbo umenikumbusha mbali sana, wote wenye mapenzi na mama zao sikilizeni huu wimbo. sauti nzuri za Kyanga Songa na Kasaloo Kyanga wa Tancut Almasi wimbo Mama, pata...
Watu uwa wanasema bahati haiji mara mbili,ila jamaa alijikuta akiishiwa lakini sasa amezipata tena.
Hii inanikumbusha hata hayo kama sikosei yalimkuta Will Smith.
Nenda kwenye hii link
POPOTE TZ...
Nimepewa taarifa kwamba wasanii wengi wa kibongo ni mbumbumbu ndo mana wanaibiwa sana kazi zao na kuishia kulipwa hadi elfu kumi kwa kazi anayofanya hii ni kweli nije kuwekeza bongo!?