Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nimekutana na huu wimbo umenikumbusha mbali sana, wote wenye mapenzi na mama zao sikilizeni huu wimbo. sauti nzuri za Kyanga Songa na Kasaloo Kyanga wa Tancut Almasi wimbo Mama, pata...
0 Reactions
53 Replies
21K Views
Watu uwa wanasema bahati haiji mara mbili,ila jamaa alijikuta akiishiwa lakini sasa amezipata tena. Hii inanikumbusha hata hayo kama sikosei yalimkuta Will Smith. Nenda kwenye hii link POPOTE TZ...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania, mwanadada Jaydee alienda wapi. Natafuta kanda yake ya hivi majuzi kama ipo.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimepewa taarifa kwamba wasanii wengi wa kibongo ni mbumbumbu ndo mana wanaibiwa sana kazi zao na kuishia kulipwa hadi elfu kumi kwa kazi anayofanya hii ni kweli nije kuwekeza bongo!?
0 Reactions
21 Replies
4K Views
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana maoni ya wadau mbalimbali kuhusu ubora wa filamu zetu za kibongo. Wengi wamekuwa wakitoa changamoto badala ya kupongeza kazi za sanaa hiyo ya filamu kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nimesikia tangazoo kuwa kanga moja leo wako klub maasai,ila sikumbuki kama ni knondoni au m'nyamala.nisaidieni maana nawatafuta hawa viumbe nimeona picha zao youtube kuna kiutafiti fulani nataka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habari zenu wanajamvi..naombeni mnisaidie...nilitazama muvi hii zamani kidogo (kama miaka 3hivi iliyopita sijui) na sasa nimeitafuta tena hii muvi bila mafanikio tatizo kubwa ni kukumbuka hata...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Waandaaji wa filamu nyingi za bongo mnaboa sana, hivi hamjajua tu kuwa hadithi za filamu zenu nyingi hazivutii? Unaweza kuwa na kipaji cha kuigiza, halafu usiwe mtunzi mzuri. Kila mtu mungu kampa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
BSS ya mwaka huu imepoteza mvuto. Jana ndo ilikuwa fainali na wengi hatujui kilichojiri huko. Wadau tuambieni nani alikuwa nani huko
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Pata nyimbo yoyote duniani, nyimbo za bongo, ant-virus za simu, game za magari, dictionary(language translator) na pia tuma meseji bure kwenda popote duniani kama hiyo haitoshi kuna vingine vingi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
wakati wanaanza mashindano walituomba tuwapigie kura washiriki kwa kutumia simu zetu na pesa zetu. tuliendelea kupiga kura kumchagua mshindi kwa zaidi ya mwezi mmoja. Ambacho tumerudishiwa sisi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama kuna mtu amabaye amepitia kwenye mapito kama haya au jamaa yake wa karibu au ndugu au rafiki naomba nimpe pole.. Jamani kwa nini duniani tufanyiane mabaya wakati wote tunapita .. Spack &...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Oya guys pls help, wapi nitapata the cheapest ps2 cd za PAL? Maana dah, cd moja 90,000 siwezi!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Oya guys pls help, wapi nitapata the cheapest ps2 cd za PAL?
0 Reactions
0 Replies
861 Views
wadau naomba kufahamu wasifu(cv) ya judge wa kiume kwenye mashindano ya music ktk kipindi cha Tikisa ITV.Thanx
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kichwa cha hbr kinajieleza tosha!....kw miaka ss nimekua nikipenda nyimbo za boringo hasa za kikongo toka kw koffi na ivi karibuni kw felly gola na fally ipupa.natamani niwe mwimbaji cku 1 wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF??? Nianzie mbali kidogo, weekend hii nilikuwa natokea Arusha kuelekea Mbeya, nilipanda mabasi yetu yale ambayo kampuni pinzani wanyaita 'mahotpot' kwa jinsi yalivyokaa ila kiukweli...
1 Reactions
0 Replies
13K Views
Habari Wana Jf, Hivi wasanii wa Tz wanajua kuwa muziki au uigizaji ni kazi kama nyinge na inatakiwa kuheshimiwa? mbona wanajishusha bei kiasi hicho? mfano ni msanii Diamond ambaye alikuwa aje...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom