Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Have you visited me ? Kids Fun Spots, Shopping areas, Movies, Bar and Lounge, Supermarket etc etc.. Click on the Like button to join the fan page and share with friends and family ;-) Here is...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sister P akikamua Zay B jukwaani Daz baba akifanya kweli DJ Sox akifanya mambo yake Mkoloi akiwa kazini Mr Simple, Diwani wa Ticket ya CHADEMA Mashabiki wakipagawishwa Sugu...
3 Reactions
6 Replies
4K Views
Wakuu sasa nimeamini rasmi kweli kwenye vita ya haki ushindi ni lazima, hii ni kufuatia Tamasha kubwa la Anti Virus with no apology na kufana kupita maelezo, leo kwa mara ya kwanza asubuhi hii...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Dawa pekee inayoweza kuwadhibiti CHADEMA ni kupiga marufuku viongozi na wanachama wao kufikiri. Maana kila mara dola inapojiona imeweza kiukweli ndo inakuwa ndo bado kabisa. Kama ni mechi basi...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu watanzania wa kweli. Jana nimewasikiliza vinega kupitia FNL kusema ukweli wamenigusa sana nusura nitoe chozi jinsi wasanii wa bongo wanavyodhulumiwa. Mi mwenzenu leo mapemaaa naenda...
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Usipime vinega jana walitisha aliekuwepo mwingne nae aseme SUGU noma
0 Reactions
35 Replies
5K Views
mnyamwez Fabulous dj ziro Gangwe mob THT dancers Wanaumeeeeeee Suka na Fella Barnaba Afane sele international stage nyomiiiiii Jay moe na mchizi mox picha zote na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu kuna miziki natafuta video au auio zake lakini tatizo sikumbuki majina ya bendi. Kuna kundi moja na west africa lilipiga muziki huku waadada wakikata mauno kwenye maji. Anyekumbuko ule...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama msanii unafanya kazi nzuri,basi itapendwa na itanunuliwa...hata kama clouds wasipoicheza nyimbo yako kama ni nzuri si itachezwa tu kwingine?! Kama msanii ni mahiri,mweledi wa taaluma/sanaa...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Haya jamani waliopo ktk ukumbi tupeni mambo nini kinaendelea ktk ukombozi wa wasanii walionyonywa kwa mda mrefu
3 Reactions
232 Replies
23K Views
Vp vinega wamepata support ya kutosha?
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ile kwaya mashuhuri nchini ya rwanda inatarajia kufika dar kuja kuzindua dvd mpya ukiwa kama mpendwa katika kristo kariu kuwapa pole na kuwapongeza kwa kutokata tamaa kama mnakumbuka ndio...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inaanza na mimi, wewe unafuata., baadaye Jamii nzima na mwisho nchi inakombolewa. Inaanza kwa mimi kiwadhamini watu kumi (10) kuhudhuria Tamasha la VINEGA. Nimekwisha nunua na kugawa tiketi...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Tar 26/11/2011 Vinega Mbali mbali wakiongozwa na Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu watazindua album yao Maarufu kwa jina la Antivirus. Ningependa kuwashauri pesa zitazopatikana kwenye Show hiyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nampenda Sugu kwani ni mwanamuziki nguli wa hiphop ya bongo na DMX nampenda kwa sababu ni msanii nguli Marekani. Sasa taabu naipata kwa Ruge, maana sijui ana kipaji gani. Tangu amdhulumu Sugu ile...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
lazima tuwakalishe hawa jamaa jumamosi hakuna dmx wala fabillas hawana lolote! huko kwao hawasikiki wakuja kufanya nin bongo? hakuna mtu ankwenda huko watu wote kwa vinega wa ukweli uzalendo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huyu mama nyimbo zake matata sana.....utafikiri aliishi uswazi......ni mapenzi haswa Millie Jackson - Leftovers - YouTube Phillip, I know you said you`re leaving But can`t we discuss this at all...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
It was on 24th November 1991 when this talented singer and songwriter passed away. One day before his death, on November 23, 1991, Mercury released a statement: "I wish to confirm that I have...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Uganda's Richest Musicians Artistes who include top star Bebe Cool have been struggling financially. Red Banton was offered Red a stick of roasted meat and it turned out to be his first meat...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom