Have you visited me ? Kids Fun Spots, Shopping areas, Movies, Bar and Lounge, Supermarket etc etc..
Click on the Like button to join the fan page and share with friends and family ;-)
Here is...
Sister P akikamua
Zay B jukwaani
Daz baba akifanya kweli
DJ Sox akifanya mambo yake
Mkoloi akiwa kazini
Mr Simple, Diwani wa Ticket ya CHADEMA
Mashabiki wakipagawishwa
Sugu...
Wakuu sasa nimeamini rasmi kweli kwenye vita ya haki ushindi ni lazima, hii ni kufuatia Tamasha kubwa la Anti Virus with no apology na kufana kupita maelezo, leo kwa mara ya kwanza asubuhi hii...
Dawa pekee inayoweza kuwadhibiti CHADEMA ni kupiga marufuku viongozi na wanachama wao kufikiri. Maana kila mara dola inapojiona imeweza kiukweli ndo inakuwa ndo bado kabisa. Kama ni mechi basi...
Habari zenu watanzania wa kweli. Jana nimewasikiliza vinega kupitia FNL kusema ukweli wamenigusa sana nusura nitoe chozi jinsi wasanii wa bongo wanavyodhulumiwa. Mi mwenzenu leo mapemaaa naenda...
mnyamwez Fabulous
dj ziro
Gangwe mob
THT dancers
Wanaumeeeeeee
Suka na Fella
Barnaba
Afane sele
international stage
nyomiiiiii
Jay moe na mchizi mox
picha zote na...
Wakuu kuna miziki natafuta video au auio zake lakini tatizo sikumbuki majina ya bendi.
Kuna kundi moja na west africa lilipiga muziki huku waadada wakikata mauno kwenye maji. Anyekumbuko ule...
Kama msanii unafanya kazi nzuri,basi itapendwa na itanunuliwa...hata kama clouds wasipoicheza nyimbo yako kama ni nzuri si itachezwa
tu kwingine?! Kama msanii ni
mahiri,mweledi wa taaluma/sanaa...
Ile kwaya mashuhuri nchini ya rwanda inatarajia kufika dar kuja kuzindua dvd mpya
ukiwa kama mpendwa katika kristo kariu kuwapa pole na kuwapongeza kwa kutokata tamaa
kama mnakumbuka ndio...
Inaanza na mimi, wewe unafuata., baadaye Jamii nzima na mwisho nchi inakombolewa.
Inaanza kwa mimi kiwadhamini watu kumi (10) kuhudhuria Tamasha la VINEGA. Nimekwisha nunua na kugawa tiketi...
Tar 26/11/2011 Vinega Mbali mbali wakiongozwa na Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu watazindua album yao Maarufu kwa jina la Antivirus. Ningependa kuwashauri pesa zitazopatikana kwenye Show hiyo...
Nampenda Sugu kwani ni mwanamuziki nguli wa hiphop ya bongo na DMX nampenda kwa sababu ni msanii nguli Marekani. Sasa taabu naipata kwa Ruge, maana sijui ana kipaji gani. Tangu amdhulumu Sugu ile...
lazima tuwakalishe hawa jamaa jumamosi hakuna dmx wala fabillas hawana lolote! huko kwao hawasikiki wakuja kufanya nin bongo? hakuna mtu ankwenda huko watu wote kwa vinega wa ukweli uzalendo...
Huyu mama nyimbo zake matata sana.....utafikiri aliishi uswazi......ni mapenzi haswa
Millie Jackson - Leftovers - YouTube
Phillip, I know you said you`re leaving
But can`t we discuss this at all...
It was on 24th November 1991 when this talented singer and songwriter passed away.
One day before his death, on November 23, 1991, Mercury released a statement:
"I wish to confirm that I have...
Uganda's Richest Musicians
Artistes who include top star Bebe Cool have been struggling financially. Red Banton was offered Red a stick of roasted meat and it turned out to be his first meat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.