Kwahiyo nyimbo za chekechea siku hizi zinaingizwa studio? Kaaazi kweli kweli.Wasanii wa kibongo hawana creativity das y hawadumu kwny game ila tnx broda umenkumbusha enzi za mabata madogomadogo
Kwahiyo nyimbo za chekechea siku hizi zinaingizwa studio? Kaaazi kweli kweli.Wasanii wa kibongo hawana creativity das y hawadumu kwny game ila much tnx 2 hm cz amenkumbusha enzi za mabata madogomadogo
Ila mi nadhan Adam mchomvu anatoa single zake kama sehemu ya interests sio kama biashara...maana ile ya kwanza nayo ' Joni! Joni! yes papa...'...anataka tu kufurahisha watu. Hizo single nazisikia clouds fm tu...sijazisikia radio zingine.
Ila mi nadhan Adam mchomvu anatoa single zake kama sehemu ya interests sio kama biashara...maana ile ya kwanza nayo ' Joni! Joni! yes papa...'...anataka tu kufurahisha watu. Hizo single nazisikia clouds fm tu...sijazisikia radio zingine.
adam micfa tu imemfunga pingu.kinachomfanya aimbe upupu ni mademu ashajua bongo ukiwa msanii kungoa watoto haina gharama dats y analazmisha kufanya asichokijua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.