Nimefuatilia kwa muda sasa studio ambazo kazi yao kubwa ni kuuza kazi za wasanii hususani nyimbo.Nilichogundua ni kwamba kwa kila cd mia moja zinazouzwa thamani ni za nyimbo za dini ,hivyo kuna kila dalili ya kuwa muda si mrefu mziki wa kizazi kipya utatoweka kabisa Wadau naombeni mtupe mawazo ni jinsi gani ya kuokoa hili jahazi linalozama hasa ukitilia maanani ya kuwa mziki wa kizazi kipya ni chanzo cha ajira